‘Wazazi leeni watoto katika maadili mema’
MSAIDIZI Mkuu wa mahabusu ya watoto iliyopo Upanga, Dar es Salaam, Magreth Minja, amewataka wazazi kuwalea watoto katika maadili mema ili kuepukana na vitendo viovu. Amesema kwa sasa vitendo vya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog11 Oct
Wito watolewa wazazi kuwajengea maadili mema watoto
Diwani wa kata ya Issuna wilaya ya Ikungi,Stephano Misai,akizungumza kwenye mahafali ya kwanza ya darasa la saba shule ya msingi Unyahati iliyopo kijiji cha Muungano .Mgeni rasmi huyo amezitaka shule za msingi na sekondari zenye bahati ya kuwa karibu na huduma ya umeme, kuweka nishati hiyo kwa ajili ya wanafunzi kujifunza kompyuta. Wa kwanza kushoto (aliyekaa) ni Chiku Alli raia wa Norway aliyekusanya fedha kutoka kwa raia wa Norway na kugharamia ujenzi wa shule ya Unyahati. Kulia ni...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
‘Waleeni watoto katika maadili mema’
ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Titus Mdoe, amewataka waumini wa kanisa hilo kuwalea watoto katika maadili yanayompendeza Mungu ili waweze kupata viongozi bora watakaosimamia haki...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Wazazi wapoteza ushawishi wa maadili kwa watoto
HIVI sasa wazazi wengi hawana mwamko wa kuzungumza na watoto wao kuhusu maadili. Mamlaka hayo ya lazima kwao wameziachia televisheni na mitandao ya kijamii ambayo imekuwa mwalimu wa vijana kujifunza...
11 years ago
Mwananchi08 Jun
Mjengee msingi wa maadili mema mwanao
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/jwY6YVd6P7c/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wgZu-iWRWZs/U6cICrTfXRI/AAAAAAAFsRQ/kN5-QCKbhRM/s72-c/ki.jpg)
Mama Kikwete awataka wazazi na walezi kuwekeza katika elimu ya watoto wao
![](http://2.bp.blogspot.com/-wgZu-iWRWZs/U6cICrTfXRI/AAAAAAAFsRQ/kN5-QCKbhRM/s1600/ki.jpg)
Wazazi na walezi wilayani Lindi mjini wametakiwa kuwekeza katika elimu ya watoto wao kwa kuhakikisha wanakwenda shule kwa wakati kwani elimu ni ukombozi wa maisha na kuolewa katika umri mdogo kwa watoto hao hakutawasaidia kimaisha.
Mwito huo umetolewa jana na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa (NEC) wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete wakati akiongea kwa nyakati tofauti na viongozi wa Halmashauri kuu ya tawi ya Chama...
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE AMTUNUKU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MBARAK ABDULWAKIL NISHANI YA UTUMISHI MREFU NA MAADILI MEMA DARAJA LA (I)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cuo7Ldeqge4/Xufhot-fDZI/AAAAAAALt9k/XzLYbotbIbAnKtdoChmO5_7M0Tjq1CwlwCLcBGAsYHQ/s72-c/26d4f0a0-7631-47f5-81c8-e7e7c721b1fc.jpg)
WAZIRI UMMY AWASIHI WAZAZI KUWASIMAMIA WATOTO KATIKA MATUMIZI YA VIFAA VYA KIELETRONIKI
![](https://1.bp.blogspot.com/-cuo7Ldeqge4/Xufhot-fDZI/AAAAAAALt9k/XzLYbotbIbAnKtdoChmO5_7M0Tjq1CwlwCLcBGAsYHQ/s640/26d4f0a0-7631-47f5-81c8-e7e7c721b1fc.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu akizungumza na waandishi wa Habari leo jijini Dodoma kuhusu Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika (kushoto) ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Maendeleo ya Mtoto, Sebastian Kitiku.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/90f2b199-5371-437c-961d-f09b7779a91d.jpg)
10 years ago
VijimamboWAKUU WA IDARA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI WAMPA ZAWADI KATIBU MKUU WAO BAADA YA KUTUNIKIWA NISHANI YA UTUMISHI MREFU NA MAADILI MEMA DARAJA LA (I)