Graca, Winnie Mandela ni mtu na ‘dada yake’
Winnie Madikizela-Mandela, (77) aliinama kumbusu Graca Machel (68), kabla ya kukaa katika kiti cha tatu kutoka kile alichokalia mwanamke huyo. Graca Machel alimwambia maneno machache ‘dada yake’ Winnie wakati akimbusu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2013/12/Ofisa-Ustawi-wa-Jamii-wa-Halmashauri-wa-Wilaya-ya-Nkasi-Oscar-Mdenye.-1.jpg?width=600)
AOWA MWANAFUNZI MTU NA DADA YAKE
10 years ago
TheCitizen22 Oct
Why Winnie Mandela has let down South Africans
11 years ago
TheCitizen05 Feb
Ex-wife Winnie left out of Mandela’s testament
11 years ago
Habarileo23 Dec
Wazee wa Mandela wamjia juu Winnie
WAZEE wa ukoo wa kichifu wa Rais mstaafu wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, AbaThembu, wameelezea kukasirishwa na kauli ya mke wa zamani wa kiongozi huyo, Winnie, kumteua mwanawe wa kike, Makaziwe kuwa Mkuu wa familia.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-dX6zfw4tLBM/XsFAViBDZhI/AAAAAAALqkE/wgkJUOP8_eYHoYVoWxeL85I4e1n_U-OLwCLcBGAsYHQ/s72-c/m1.jpeg)
RAIS DKT. MAGUFULI AHUDHURIA MSIBA WA DADA YAKE YAKE KIJIJINI CHATO LEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-dX6zfw4tLBM/XsFAViBDZhI/AAAAAAALqkE/wgkJUOP8_eYHoYVoWxeL85I4e1n_U-OLwCLcBGAsYHQ/s1600/m1.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa aliyefariki Dunia leo tarehe 17 Mei 2020, Chato mkoani Geita. Marehemu anatarajiwa kuzikwa kesho Buzirayombo Chato mkoani Geita.
![](https://1.bp.blogspot.com/-n292POPsI1E/XsFAXpPoBlI/AAAAAAALqkI/MD_qJVX0vgQXDWPv5JGLVURcsbLrYzprQCLcBGAsYHQ/s1600/m2.jpeg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akitoa heshma za Mwisho katika jeneza lenye Mwili wa Marehemu Dada yake Gaudensia Felician Marko Msangwa...
10 years ago
CloudsFM03 Feb
PETIT MAN AMFANYIA ‘’SURPRISE’DADA YAKE DIAMOND KWENYE SIKU YAKE YA KUZALIWA
Meneja wa msanii wa Bongo Fleva,Mirror,Petit Man kutoka kampuni ya Endless Fame chini yake Wema Sepetu jana alimfanyia Surprise mke wake ambaye ni dada yake aitwaye Esma Platinumz kwa kumzawadia zawadi ya gari kwenye sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika Samaki Samaki maeneo ya Masaki.
Katika Sherehe iliyohudhuliwa na mastaa kibao akiwemo Wema Sepetu,Petit Man wakati akimzawadia mke wake huyo hakuamini na kuanza kulia kwa furaha.
Kupitia Instagram Esma aliandika hivi....Thank u my husband for...
9 years ago
Dewji Blog15 Nov
Huyu ndio mchezaji mkubwa aliyempoteza binamu yake katika shambulio la Paris na mwingine kunusurika kumpoteza dada yake
Kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.
Na Rabi Hume, wa Modewjiblog
Shambulio limelotokea usiku wa Ijumaa kuamkia Jumamosi katika jiji la Paris, Ufaransa wakati mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Taifa ya Ufaransa na Ujerumani umeacha simanzi kwa kiungo wa timu ya Taifa ya Ufaransa na klabu ya Marseille, Lassana Diarra.
Katika shambulio hilo ambalo linakadiliwa kuua watu zaidi 150 limepelekea Diarra kumpoteza binamu yake, Asta Diakote ambae alikuwa moja...
5 years ago
BBCSwahili29 Feb
"Maisha yake ni sawasawa na mtu aliyekufa na kufufuka" kulingana na mama yake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSLN7HBTedkPraNFRLTBEv44WFA-GkC4QBV1sqkUasS4IXNGle4eqHGy8yKT9bX25rOwjzeCBGcztIy5BET4R6Fl/olusegun_obasanjo3.jpg?width=650)
OBASANJO AFIWA NA DADA YAKE MDOGO