Jeshi la Syria lashambulia soko Aleppo
Jeshi la serikali la Syria limetekeleza mashambulizi katika soko moja mjini Aleppo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
Hezbollah lashambulia jeshi la Israel
Kundi la wapiganaji wa Washia wa Lebanon walio chini ya vugu vugu la Hezbollah, linasema kuwa limetekeleza shambulio dhidi ya msafara wa wanajeshi wa Israeli katika mpaka wa mataifa hayo mawili.
10 years ago
BBCSwahili02 Sep
Jeshi la Marekani lashambulia Al Shabaab
Wizara ya ulinzi ya Marekani inasema jeshi lake limefanya mashambulizi dhidi ya kundi la, Al Shabaab nchini Somalia.
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Jeshi la Saudia lashambulia waasi, Yemen
Saud Arabia imeanza operesheni zake za kijeshi nchini Yemen, ikiwa ni kujibu ombi la Rais wa nchi hiyo Abd Rabbuh Mansour Hadi.
11 years ago
BBCSwahili16 Mar
Jeshi la Syria lakomboa mji muhimu
Serikali ya Syria yakomboa mji wa Yabroud, karibu na mpaka wa Libnan na ngome ya wapiganaji wanaopinga serikali
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-07JQ_UPPmio/XpX7VBC96nI/AAAAAAAAHzM/TnxJd_7_1ykMSkjIjNEvJ-CALPJCjTFXACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200414-WA0108.jpg)
WATEJA SOKO LA KIHESA WAKAIDI AGIZO LA KUTAKASA MIKONO, JESHI LA AKIBA WAKUKAMATA WAKAIDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-07JQ_UPPmio/XpX7VBC96nI/AAAAAAAAHzM/TnxJd_7_1ykMSkjIjNEvJ-CALPJCjTFXACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200414-WA0108.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-b--YucZQBYs/XpX7VbuS8aI/AAAAAAAAHzU/Ck5K9LaFSUA4k56Y7Jk7TODAzKJtZsAsgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200414-WA0109.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UqdNxCv7wVw/XpX7VZH0efI/AAAAAAAAHzQ/FZrD8CobSQUi-1c-MFJKRrutp5t9YIcdwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200414-WA0114.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Vita vya Syria: Serikali ya Syria itajuta kwa kuwashambulia wanajeshi wa Uturuki
Onyo hilo la rais Erdogan linajiri baada ya wanajeshi wa Uturuki kuuawa na vikosi vya Syria mjini Idlib
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
9 years ago
BBCSwahili28 Sep
Kundi la Taliban lashambulia Kunduz
Mamia ya wapiganaji wa kundi la Taliban wametekeleza mashambulizi katika mji wa Kunduz uliopo kaskazini mwa Afghanistan.
10 years ago
BBCSwahili21 Sep
Boko Haram lashambulia Nigeria Kazkazini
Wapiganaji wa kundi la Boko Haram nchini Nigeria wameshambulia mji wa kazkazini mashariki wa Mainok karibu na mji wa Maiduguri.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania