Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamanda wa Pakistan ziarani Afghanistan

Kamanda wa jeshi la Pakistan, amewasili katika mji mkuu wa Afghanistan kushauriana na rais Ashraf Ghani kuhusu wapiganaji wa Taliban

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kamanda mkuu wa Taliban auawa Pakistan

Kamanda mkuu wa Taliban nchini Pakistan, Asmatullah Shaheen ameuawa kwa kupigwa risasi

 

11 years ago

Michuzi

HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI

Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Lindi(LPC) Inatoa Pongezi kwa ACP Renatha Mzinga(pichani) aliekuwa Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi kwa kuteuliwa na MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa LINDI. Taarifa iliyotolewa leo na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Lindi,Abdulaziz Ahmeid ameeleza kuwa kuwa Klabu hiyo Imepokea mabadiliko hayo na kuhaidi Ushirikiano mkubwa baina ya klabu na Jeshi hilo.  "Kwa niaba ya wanahabari...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 11 wauawa Afghanistan

Wapiganaji wa Taliban nchini Afghanistan wamedaiwa kuwaua wanajeshi 11 katika jimbo la Herat magharibi mwa taifa hilo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake taabani Afghanistan

Watetezi wa wanawake wamemuasa Rais Hamid Karzai kutotia saini mswada utakaopelekea kuwa vigumu kuwapata na hatia wanaowadhulumu wanawake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi 6 wa US wafariki Afghanistan

Wanajeshi sita wa Marekani wamefariki katika ajali ya ndege Kusini mwa Afghanistan ambayo kiini chake hakijajulikana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Marekani yashambuliwa Afghanistan

Mshambuliaji wa kujitolea muhanga huko nchini Afghanistan amewaua askari sita wa vikosi vya jeshi la Marekani .

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwandishi wa AP auawa Afghanistan

Mwandishi wa Associated Press ameuawa kwa kupigwa risasi na afisa wa polisi mashariki mwa Afghanistan.

 

11 years ago

BBCSwahili

Majeshi ya UK yaaga Afghanistan

Wanajeshi wa Uingereza Kusini mwa nchi hiyo wameshaondolewa na hatamu zote kukabidhiwa Waafghani wenyewe, isipokuwa Kambi mbili tu za kijeshi zilizobaki nchini Afghanistan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani