Wanawake taabani Afghanistan
Watetezi wa wanawake wamemuasa Rais Hamid Karzai kutotia saini mswada utakaopelekea kuwa vigumu kuwapata na hatia wanaowadhulumu wanawake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
Mkataba wa amani Afghanistan: “Huenda wanawake wasiruhusiwe tena kufanya kaziâ€
11 years ago
BBCSwahili10 Apr
Pistorius taabani
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
‘Wagombea’ wa Lowassa taabani
ZIKIWA zimesalia siku tatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu, wagombea w
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Vyama vitano taabani
11 years ago
Mwananchi20 May
Serikali taabani kifedha
10 years ago
BBCSwahili11 May
Wakimbizi taabani Thailand
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Marando taabani Muhimbili
10 years ago
Mtanzania23 Mar
UDA taabani kifedha
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAKATI Serikali ikitafakari kulipatia Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) haki ya kuendesha mradi mkubwa wa mabasi yaendayo kasi katika Jiji la Dar es Salaam, kuna habari kuwa shirika hilo linaelekea kufilisika.
Habari za uhakika kutoka ndani ya shirika hilo zimebainisha kuwa kwa sasa UDA liko katika hali mbaya kifedha kiasi cha kushindwa kumudu gharama za kujiendesha, ikiwamo kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara.
Chanzo hicho cha habari...
11 years ago
Habarileo29 Dec
Shule za msingi Kilwa taabani
SHULE nyingi za msingi wilayani Kilwa mkoani Lindi ziko kwenye hali mbaya uchakavu wa majengo, ukosefu wa vyoo, upungufu wa madarasa na nyumba na walimu wachache.