Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Pistorius taabani

Pistorius amerejea tena mahakamani kuhojiwa zaidi na kujibu maswali ya mwendesha mashtaka mkuu Gerrie Nel

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

‘Wagombea’ wa Lowassa taabani

ZIKIWA zimesalia siku tatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu, wagombea w

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mwananchi

Vyama vitano taabani

Wakati CCM, Chadema na ACT- Wazalendo vikisema vitajitahidi kubana matumizi ya shughuli za Uchaguzi Mkuu yasivuke kiwango cha Sh17 bilioni kilichowekwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, vyama vingine vitano vinalia ukata.

 

10 years ago

Mtanzania

UDA taabani kifedha

UDANa Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAKATI Serikali ikitafakari kulipatia Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) haki ya kuendesha mradi mkubwa wa mabasi yaendayo kasi katika Jiji la Dar es Salaam, kuna habari kuwa shirika hilo linaelekea kufilisika.
Habari za uhakika kutoka ndani ya shirika hilo zimebainisha kuwa kwa sasa UDA liko katika hali mbaya kifedha kiasi cha kushindwa kumudu gharama za kujiendesha, ikiwamo kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara.
Chanzo hicho cha habari...

 

9 years ago

Mwananchi

Marando taabani Muhimbili

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Mashariki ambaye pia ni mwanasheria, Mabere Marando amelazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi jioni akiwa hajitambui.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi taabani Thailand

Maelfu ya wakimbizi kutoka Bangladeshi na Myanmar wametelekezwa karibu na ufuo wa Thailand kufuatia masharti makali yaliyowekwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanawake taabani Afghanistan

Watetezi wa wanawake wamemuasa Rais Hamid Karzai kutotia saini mswada utakaopelekea kuwa vigumu kuwapata na hatia wanaowadhulumu wanawake.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali taabani kifedha

Sasa ni dhahiri kuwa Serikali iko taabani kifedha na hali hiyo imeanza kuwatia hofu wabunge hasa baada ya kubainika kwamba katika bajeti ya mwaka 2013/2014 pekee, kuna upungufu wa Sh1.8 trilioni.

 

10 years ago

Mtanzania

Askofu Gwajima taabani polisi

NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM

HALI ya afya ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, imebadilika ghafla baada ya kushindwa kupanda ngazi katika ofisi za Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam jana.

Askofu Gwajima alifika kituoni hapo saa 2 asubuhi akiwa ameongozana na maaskofu zaidi ya watano.

Katika hali ya kushangaza, wakati akipanda ngazi kuelekea kwa Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, alifanikiwa kupanda mbili, lakini alipojaribu ya...

 

11 years ago

Habarileo

Shirika la Reli taabani kifedha

WIZARA ya Uchukuzi, imebainisha wazi kuwa hali ya kifedha ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) si nzuri kiasi cha kushindwa hata kukarabati kwa muda mrefu vituo vyake ambavyo kwa sasa vina hali mbaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani