Pistorius taabani
Pistorius amerejea tena mahakamani kuhojiwa zaidi na kujibu maswali ya mwendesha mashtaka mkuu Gerrie Nel
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
‘Wagombea’ wa Lowassa taabani
ZIKIWA zimesalia siku tatu kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu, wagombea w
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mwananchi21 Sep
Vyama vitano taabani
10 years ago
Mtanzania23 Mar
UDA taabani kifedha
Na Mwandishi wetu, Dar es Salaam
WAKATI Serikali ikitafakari kulipatia Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) haki ya kuendesha mradi mkubwa wa mabasi yaendayo kasi katika Jiji la Dar es Salaam, kuna habari kuwa shirika hilo linaelekea kufilisika.
Habari za uhakika kutoka ndani ya shirika hilo zimebainisha kuwa kwa sasa UDA liko katika hali mbaya kifedha kiasi cha kushindwa kumudu gharama za kujiendesha, ikiwamo kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara.
Chanzo hicho cha habari...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Marando taabani Muhimbili
10 years ago
BBCSwahili11 May
Wakimbizi taabani Thailand
11 years ago
BBCSwahili04 Feb
Wanawake taabani Afghanistan
11 years ago
Mwananchi20 May
Serikali taabani kifedha
10 years ago
Mtanzania03 Apr
Askofu Gwajima taabani polisi
NA ASIFIWE GEORGE, DAR ES SALAAM
HALI ya afya ya Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, imebadilika ghafla baada ya kushindwa kupanda ngazi katika ofisi za Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam jana.
Askofu Gwajima alifika kituoni hapo saa 2 asubuhi akiwa ameongozana na maaskofu zaidi ya watano.
Katika hali ya kushangaza, wakati akipanda ngazi kuelekea kwa Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, alifanikiwa kupanda mbili, lakini alipojaribu ya...
11 years ago
Habarileo18 Dec
Shirika la Reli taabani kifedha
WIZARA ya Uchukuzi, imebainisha wazi kuwa hali ya kifedha ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) si nzuri kiasi cha kushindwa hata kukarabati kwa muda mrefu vituo vyake ambavyo kwa sasa vina hali mbaya.