Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vyama vitano taabani

Wakati CCM, Chadema na ACT- Wazalendo vikisema vitajitahidi kubana matumizi ya shughuli za Uchaguzi Mkuu yasivuke kiwango cha Sh17 bilioni kilichowekwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, vyama vingine vitano vinalia ukata.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Vyama vitano vyaahidi viwanda

VYAMA vitano vya siasa nchini vinavyoshiriki katika Uchaguzi Mkuu mwaka huu vimeelekeza nguvu katika uchumi wa viwanda na udhibiti wa matumizi ya Dola ya Marekani katika kukuza pato la Taifa ikiwa watapewa ridhaa ya kuongoza nchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Vyama vitano vyagawana madiwani viti maalumu

Wakati kata 56 zinasubiri kufanya uchaguzi mdogo wa madiwani, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza mgawanyo wa madiwani wa viti maalumu miongoni mwa vyama vitano vilivyofuzu vigezo vilivyowekwa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Vyama vitano vimekutana na waandishi wa habari kuzungumzia kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015

Untitled

Viongozi wa vyama vya siasa vitano AFP, UMD, CHAHUSTA, JAHAZI ASILIA NA DEMOKRASIA MAKINI kwa pamoja tumeungana kutoa wito kwa wanasiasa wenzetu, viongozi wa dini na wananchi wote kwa jumla kuhusiana na uchaguzi huu unaotarajiwa kufanyika ifikapo tarehe 25/10/2015

Tamko hili ni pamoja na:-

1.Tunawapongeza wagombea wote wa nafasi ya Urais kwa kuendelea kufanya kampeni kwa njia ya amani na Utulivu.

2.Tunawataka watanzania wote waliojiandikisha kupiga kura wajitokeze kwa wingi siku ya...

 

10 years ago

Michuzi

VYAMA VITANO VYA SIASA VISIVYO NA WABUNGE VYAOMBA SAKATA LA IPTL LIMALIZWE

Na Dotto Mwaibale 
 MAKATIBU wakuu wa vyama vitano vya kisiasa visivyo na wabunge bungeni wameomba suala la utata wa ufisadi zaidi ya sh.bilioni 300 zilizowekwa katika akaunti ya Tegeta Escrow zilizokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limalizwe ili kuendelea kwa mambo mengine ya kitaifa.
 Katika hatua nyingine makatibu hao wamepinga hatua ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Nchini (Takukuru) kukabidhi ripoti ya uchunguzi kwa Waziri Mkuu na kudai ipelekwe kwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini...

 

9 years ago

Michuzi

VYAMA VITANO VIMEKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI KUZUNGUMZIA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU Part 1

Viongozi wa vyama vya siasa vitano AFP, UMD, CHAHUSTA, JAHAZI ASILIA NA DEMOKRASIA MAKINI kwa pamoja tumeungana kutoa wito kwa wanasiasa wenzetu, viongozi wa dini na wananchi wote kwa jumla kuhusiana na uchaguzi huu unaotarajiwa kufanyika ifikapo tarehe 25/10/2015 Tamko hili ni pamoja na:-
1. Tunawapongeza wagombea wote wa nafasi ya Urais kwa kuendelea kufanya kampeni kwa njia ya amani na Utulivu.
2. Tunawataka watanzania wote waliojiandikisha kupiga kura wajitokeze kwa wingi siku ya tarehe...

 

9 years ago

Mwananchi

Vikwazo vitano safari za nje

Agizo la Rais John Magufuli la kusitisha safari za nje linakabiliwa na ugumu katika utekelezaji wake kutokana na nchi kuwa na balozi 36 tu ambazo zitatakiwa kufanya kazi maeneo mbalimbali duniani.

 

10 years ago

Habarileo

Vifo lori la petroli vyafikia vitano

IDADI ya vifo vya watu vilivyotokana na ajali ya moto wa lori lililopinduka na kisha kulipuka baada ya watu kulivamia kwa lengo la kujipatia mafuta, vimeongezeka na kufikia vitano kutoka vitatu vya awali. Hayo yamethibitishwa na Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova.

 

9 years ago

Mwananchi

Vigezo vitano vitaamua baraza la mawaziri

Kazi za kwanza alizofanya Rais John Magufuli tayari zimeshamtambulisha kama rais asiyetaka mzaha na asiyevumilia uvivu, uzembe na kutowajibika kwa watumishi wa umma. Magufuli pia amejipambanua kama rais asiyependa ufujaji wa mali za umma na pia anayetaka kuona matokeo katika kazi na siyo blabla.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani