Vikwazo vitano safari za nje
Agizo la Rais John Magufuli la kusitisha safari za nje linakabiliwa na ugumu katika utekelezaji wake kutokana na nchi kuwa na balozi 36 tu ambazo zitatakiwa kufanya kazi maeneo mbalimbali duniani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Jul
Vikwazo vipya safari ya matumaini
10 years ago
Dewji Blog10 Apr
EXCLUSIVE: “Serikali yafuta vikwazo vyote kwa Madereva Nchini..magari yaanza safari muda huu
Waziri wa Kazi na Ajira nchini, Gaudensia Kabaka akiongea na madereva kwa kutumia kipaza sauti mapema mchana huu na kufuta baadhi ya vikwazo walivyokuwa wakivipinga madereva.
Andrew Chale wa Modewji blog
Hali ya mambo katika ‘segere’ la Madereva Nchini la kuweka mgomo baridi la kutoingia barabarani hadi hapo madai yao ya msingi...
10 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Naiona safari ya CCM nje ya Ikulu
Posted on October 24, 2015 Na Enzi T. Aboud KISHINDO cha mabadiliko kimekuwa kama wingu kubwa na pana linalowasogeza pamoja wataka mabadiliko na kuvifanya vyama viwili vikubwa Zanzibar vya CCM na CUF vyenye ushindani kutikisa siasa […]
The post Naiona safari ya CCM nje ya Ikulu appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi08 Dec
Kenyatta gumzo kwa safari za nje
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Magufuli: Safari za nje zingejenga kilomita 400
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Suala si safari za nje tu, bali wanasafiri vipi?
JUNI 2011 nilipata kusafiri daraja moja na Balozi wa nchi ya Sweden.
Maggid Mjengwa
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Wizara ya Afya yaitisha ‘roll call’ ya safari za nje
NA MAULI MUYENJWA, DAR ES SALAAM
WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewaagiza wakuu wa vitengo vya wizara hiyo kuwasilisha taarifa za watumishi wake wote waliofanya safari za nje ya nchi baada ya katazo la Rais John Magufuli.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Donan Mmbando, ametoa siku tatu kwa wakuu hao wa idara kumfikishia taarifa hizo ofisini kwake na kuonya kwamba yeyote atakayethubutu kuficha ukweli atachukuliwa...
5 years ago
CCM Blog
10 years ago
Michuzi
WIZARA YATOA UFAFANUZI WA Safari za Rais Kikwete Nje ya Nchi

Wizara imesikitishwa na taarifa za uongo zilitolewa katika vyombo vya habari kuwa Mhe. Jakaya Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uongozi wake wa miaka 10 ametumia Shilingi trilioni 4 kwa ajili ya safari za kikazi nje ya nchi, ambazo ni wastani wa bajeti nzima ya wizara kwa miaka mitano (5).Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa inapenda kutoa ufafanuzi kuwa tangu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete aingie madarakani mwaka 2005,...