Kenyatta gumzo kwa safari za nje
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameingia katika mjadala mzito wa wananchi wa kutokana na mfululizo wa ziara zake anazofanya nje ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Rais Kenyatta amkanya mwanae kwa kuvunja amri ya kutotoka nje usiku
10 years ago
Mtanzania25 Apr
Mapigano Yemen yakatisha safari ya Rais Uhuru Kenyatta
NAIROBI, Kenya,
NDEGE iliyokuwa imembeba Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, imelazimika kukatisha safari na kurejea nyumbani baada ya kuwapo hofu ya hali ya usalama katika eneo la anga ya Yemen.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Msemaji wa Ikulu ya nchi hiyo, Manoah Esipisu, tukio hilo lilitokea wakati Rais Kenyatta akiwa safarini kuelekea Dubai.
Esipisu alisema hali hiyo ilitokana na changamoto ya usalama baada ya kuwapo kwa mapigano yanayoendelea nchini Yemen baina ya jeshi la nchi...
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Vikwazo vitano safari za nje
10 years ago
MichuziBREAKING NEWZZZZ: MAGARI YA KITALII YA TANZANIA RUKSA KUINGIA UWANJA WA JOMO KENYATTA, NA SAFARI ZA KENYA AIRWAYS KUENDELEA KUWA 42
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Oct
Naiona safari ya CCM nje ya Ikulu
Posted on October 24, 2015 Na Enzi T. Aboud KISHINDO cha mabadiliko kimekuwa kama wingu kubwa na pana linalowasogeza pamoja wataka mabadiliko na kuvifanya vyama viwili vikubwa Zanzibar vya CCM na CUF vyenye ushindani kutikisa siasa […]
The post Naiona safari ya CCM nje ya Ikulu appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi21 Nov
Magufuli: Safari za nje zingejenga kilomita 400
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
Suala si safari za nje tu, bali wanasafiri vipi?
JUNI 2011 nilipata kusafiri daraja moja na Balozi wa nchi ya Sweden.
Maggid Mjengwa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-c-XCwfgBDxw/Xm-BWr75pFI/AAAAAAAC1Cw/hl6d1x82imATyq2NP5iJpKi9cr5ViC8nACLcBGAsYHQ/s72-c/Wabunge-wakiwa-ndani-ya-ukumbi-wa-Bunge-la-Tanzania.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Dec
Wizara ya Afya yaitisha ‘roll call’ ya safari za nje
NA MAULI MUYENJWA, DAR ES SALAAM
WIZARA ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewaagiza wakuu wa vitengo vya wizara hiyo kuwasilisha taarifa za watumishi wake wote waliofanya safari za nje ya nchi baada ya katazo la Rais John Magufuli.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Donan Mmbando, ametoa siku tatu kwa wakuu hao wa idara kumfikishia taarifa hizo ofisini kwake na kuonya kwamba yeyote atakayethubutu kuficha ukweli atachukuliwa...