Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashambulizi mapya dhidi ya Al-Shabaab

Wanajeshi wa Muungano wa Afrika wakishirikiana na wanajeshi wa Somalia, wameanza mashambulizi mapya dhidi ya kundi la wanamgambo la Al Shabaab.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MAPYA YAIBUKA MASHAMBULIZI

Na Haruni Sanchawa TUKIO la abiria Mosha Mahona kuwajeruhi abiria wenzake watano aliokuwa nao ndani ya daladala lililokuwa gumzo wiki iliyopita jijini Dar, nyuma ya tukio hilo mapya yameibuka, Uwazi linakujuza. Tukio hilo lililotokea Julai 23, mwaka, Mosha alikuwa amepanda daladala hilo akitokea Posta kuelekea Ubungo Simu 2000, alipofika maeneo ya Jangwani akaanza kuwachoma visu abiria wenzake kisha na yeye kuuawa na abiria....

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi mapya yawaua wapalestina 17

Maafisa wa Palestina wanasema kuwa takriban watu 17 waliuawa baada ya mashambulizi mapya ya Israel huko Gaza.

 

10 years ago

StarTV

Mashambulizi mapya yaibuka tena Ukraine.

Ukraine inasema kuwa mmoja wa wanajeshi wake ameuawa na wengine 14 kujeruhiwa kwenye mashambulizi mapya yanayoendeshwa na waasi wanaoiunga mkono Urusi mashariki mwa nchi.

Kifo hicho ndicho cha nne baada ya siku kadha na kilitokea karibu na mji unaoshikiliwa na waasi wa Donetsk.

Serikali inawalaumu waasi kwa kutumia makombora na silaha zingine nzito zilizopigwa marufuku wakati wa makubaliano ya kusitisha vita.

Makubaliano hayo yalistahili kuwa nchini ya uangalizi wa idara ya usalama ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi dhidi ya Houthi yasitishwa

Majeshi ya muungano yakiongozwa na jeshi la Saudi Arabia yamesitisha mashambulizi yake ya angani nchini Yemen, baada ya kuanza muafaka wa amani wa kusitisha mapigano.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yakemea mashambulizi dhidi ya Albino

Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Serikali ya Tanzania kupambana na vitendo vya mashambulizi dhidi ya Albino

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama atetea mashambulizi dhidi ya IS Iraq

Rais Obama ametetea mashambulizi dhidi ya wanapiganaji wa kiisilamu nchini Iraq akisema yanapania kulinda maslahi ya wamerekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya Al Shabaab

Majeshi ya Umoja wa Afrika ya Kulinda amani nchini Somalia yameshambuiwa na bomu la kutegwa kando ya barabara katika mji wa Kismayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulio dhidi ya Al Shabaab

Somalia inasema kuna uwezekano wa shambulio dhidi ya wapiganaji wa kiislamu Al Shabaab, wanayoidhibiti sehemu kubwa ya nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana dhidi ya Al-shabaab Garissa

Wananchi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamefanya maandamano kupinga vitendo vya kundi la Al Shabaab,

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani