Shambulio dhidi ya Al Shabaab
Somalia inasema kuna uwezekano wa shambulio dhidi ya wapiganaji wa kiislamu Al Shabaab, wanayoidhibiti sehemu kubwa ya nchi hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Vita dhidi ya Al Shabaab
Majeshi ya Umoja wa Afrika ya Kulinda amani nchini Somalia yameshambuiwa na bomu la kutegwa kando ya barabara katika mji wa Kismayo.
9 years ago
Mwananchi28 Sep
Mbowe ashinda rufaa dhidi ya hukumu kesi ya shambulio
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Moshi leo imeifuta hukumu iliyomtia hatiani Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe na kuamuru arejeshewe Sh1 milioni alizolipa kama faini.
11 years ago
BBCSwahili13 Mar
Mashambulizi mapya dhidi ya Al-Shabaab
Wanajeshi wa Muungano wa Afrika wakishirikiana na wanajeshi wa Somalia, wameanza mashambulizi mapya dhidi ya kundi la wanamgambo la Al Shabaab.
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Waandamana dhidi ya Al-shabaab Garissa
Wananchi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamefanya maandamano kupinga vitendo vya kundi la Al Shabaab,
11 years ago
BBCSwahili22 Mar
AU yazidisha vita dhidi ya Al Shabaab
Mamia ya wanajeshi wa AU wanaukaribia mji muhimu wa Koryoley,ambao umekuwa chini ya Al Shabaab kwa miaka 5
11 years ago
BBCSwahili14 Mar
Vita dhidi ya Al Shabaab vinaathiri raia-UN
Umoja wa mataifa umesema mashambulizi ya kijeshi nchini Somalia dhidi ya wapiganaji wa Kiislamu yamewaathiri watu milioni 3
5 years ago
BBCSwahili27 Feb
Ubalozi wa Marekani waonya dhidi ya shambulio la kigaidi katika hoteli moja Nairobi Kenya
Ubalozi wa Marekani nchini Kenya umetoa onyo kwamba magaidi huenda wakashambulia hoteli moja kubwa nchini Nairobi.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ctVGzmtSoN9dXUrxxOyM0krY9H4mb1mJ2liUO5u1R9DAEQEkHo-fS1MBrhP2kV7e2y-pGg*zhcrMOy-5rA-n7CODPlmA8Mdq/AlShabaabfighters014.jpg?width=650)
AL-SHABAAB NI NANI: MAREKANI YATANGAZA KUUA KIONGOZI WA AL-SHABAAB
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Wiki iliyopita nilieleza juu ya kundi haramu la kigaidi la Al-Shabaab lilivyotuma vitisho vya kutaka kuvamia Majiji ya Dar na Mwanza nchini Tanzania kupitia mkanda wa video ulioonesha mwakilishi wa Kundi la Kigaidi la Dola ya Kiislam la Iraq na Lavent (ISIL), akimtaka Kiongozi wa Al-Shabaab kujiimarisha na kufanya mashambulizi kwenye majiji hayo. SASA ENDELEA… Katika kipindi hicho, polisi wa Tanzania...
10 years ago
Mwananchi08 Oct
Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana
Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania