Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vita dhidi ya Al Shabaab vinaathiri raia-UN

Umoja wa mataifa umesema mashambulizi ya kijeshi nchini Somalia dhidi ya wapiganaji wa Kiislamu yamewaathiri watu milioni 3

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya Al Shabaab

Majeshi ya Umoja wa Afrika ya Kulinda amani nchini Somalia yameshambuiwa na bomu la kutegwa kando ya barabara katika mji wa Kismayo.

 

11 years ago

BBCSwahili

AU yazidisha vita dhidi ya Al Shabaab

Mamia ya wanajeshi wa AU wanaukaribia mji muhimu wa Koryoley,ambao umekuwa chini ya Al Shabaab kwa miaka 5

 

10 years ago

Mwananchi

Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana

Tangu kuzuka kwa ugonjwa wa ebola nchini Guinea mwezi Machi mwaka huu, watu 2,500 wamefariki dunia kutokana na virusi vyake, zaidi ya nusu ni raia wa Liberia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Shabaab 1 raia wa UK auawa Kenya

Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya ni raia wa UK

 

10 years ago

StarTV

Al Shabaab 1 raia wa Uingereza auawa Kenya


Al Shabaab mmoja raia wa UK auawa Kenya

Utafiti wa DNA unatarajiwa kuthibitisha kuwa mmoja wa wapiganaji 11 wa Al shabaab waliouawa na wanajeshi wa Kenya hapo jana alikuwa ni raia wa Uingereza.

Duru za kijasusi za jeshi la Kenya zinasema kuwa mmoja kati ya watu wawili wazungu waliouawa anafahamika kama Thomas Evans, 25, ambaye ni raia wa Uingereza na anayetokea Buckinghamshire.

Bwana Evans, alisilimu na kubadili jina lake na kuitwa Abdul Hakim.

Familia yake imeiambia BBC kuwa inasubiri...

 

11 years ago

BBCSwahili

Shambulio dhidi ya Al Shabaab

Somalia inasema kuna uwezekano wa shambulio dhidi ya wapiganaji wa kiislamu Al Shabaab, wanayoidhibiti sehemu kubwa ya nchi hiyo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mashambulizi mapya dhidi ya Al-Shabaab

Wanajeshi wa Muungano wa Afrika wakishirikiana na wanajeshi wa Somalia, wameanza mashambulizi mapya dhidi ya kundi la wanamgambo la Al Shabaab.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamana dhidi ya Al-shabaab Garissa

Wananchi wa mji wa Garissa nchini Kenya wamefanya maandamano kupinga vitendo vya kundi la Al Shabaab,

 

10 years ago

BBCSwahili

Raia wa Burundi waandamana dhidi ya rais

Polisi nchini Burundi wamerusha vitoa machozi na maji, ili kuwatawanya mamia ya waandamanaji katika mji mkuu Bujumbura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani