Treni ya Mwakyembe yasitishwa kwa siku 3
 Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) imesitisha usafiri wa treni jijini Dar es Salaam kwa siku tatu kutokana na sababu za kiufundi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLTRENI YA MWAKYEMBE DAR YASITISHWA GHAFLA, WANANCHI WALALAMIKA
10 years ago
BBCSwahili02 May
Maandamano yasitishwa kwa siku 2 Burundi
11 years ago
Habarileo15 Jul
Akemea wanaoiibia treni ya Mwakyembe
NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Dk Charles Tizeba amekemea baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wanaohujumu huduma ya usafiri wa treni ya Jiji, maarufu ‘ treni ya Mwakyembe’ kwa kuiba mapato.
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Treni ya Mwakyembe kurejea tena
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
‘Treni ya Mwakyembe’ kurejea Jumatatu
UONGOZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), imesitisha huduma ya usafiri wa treni jijini Dar es Salaam, maarufu kama ‘ Treni ya Mwakyembe’ hadi keshokutwa itakaporejea kama kawaida. Kwa mujibu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s72-c/DSC07352.jpg)
ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015
![](http://2.bp.blogspot.com/-qEMni6Z3hBE/VOUKOCZFJMI/AAAAAAAHEbQ/DsI15vPWE7c/s1600/DSC07352.jpg)
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni kutofika katika stesheni ya Kigoma unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...
11 years ago
Mwananchi13 Jun
TRL yasitisha safari za treni kwa siku saba
11 years ago
Habarileo12 Feb
Mafunzo kwa wajasiriamali wa sabuni yasitishwa
WAKALA wa Mkemia Mkuu wa Serikali imezuia kwa muda mafunzo yaliyokuwa yakitolea na makampuni mbalimbali kwa wajasiriamali wa kutengeneza sabuni nchini.
9 years ago
Mwananchi06 Dec
Treni ya mizigo yaanguka, abiria 1,000 wa treni wakwama Dodoma