Maandamano yasitishwa kwa siku 2 Burundi
Waandamanaji nchini Burundi wanaompinga rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu wameagiza kusitishwa kwa maandamano hayo
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Maandamano yaingia siku ya pili Burundi
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Treni ya Mwakyembe yasitishwa kwa siku 3
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Maandamano yachacha Burundi
10 years ago
Mtanzania18 May
Maandamano makubwa Burundi leo
Na Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
WAPINZANI wanaompinga Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, wametangaza kufanya maandamano makubwa ya kupinga hatua ya kiongozi huyo kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Pamoja na hali hiyo, Rais Nkurunziza, jana alijitokeza kwa mara ya kwanza tangu jaribio la kumpindua lishindwe na kueleza tishio la nchi yake kushambuliwa na kikundi cha wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shabaab cha Somalia.
Wakati akiyasema hayo, Rais Nkurunziza hakutoa kauli yoyote kuhusiana na...
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Maandamano:Jeshi lasambazwa Burundi
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Wanaharakati wafanya maandamano Burundi
10 years ago
BBCSwahili01 May
Waandalizi wa maandamano waonywa Burundi
10 years ago
BBCSwahili28 Apr
Maandamano yapamba moto Burundi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--7RVYe9Nk6k/VUunDi-y3RI/AAAAAAAAAco/8jDrnAUFo64/s72-c/44.jpg)
WANNE WAFARIKI KATIKA MAANDAMANO BURUNDI
![](http://3.bp.blogspot.com/--7RVYe9Nk6k/VUunDi-y3RI/AAAAAAAAAco/8jDrnAUFo64/s640/44.jpg)
Watu wanne wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano ya kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania Urais kwa Mhula wa tatu.Mamia ya watu wamejitokeza kwenye maandamano hayo huku baadhi wakichoma moto baadhi ya vitu katika nchi hiyo.Siku ya jumanne Mahakama ya Katiba ilikubali kuwa Rais Nkurunziza anaweza kugombea urais ambapo ilisema ni halali yeye kuwania tena urais kwa kipindi kingine cha miaka mitano.Katika hotuba yake...