Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maandamano yasitishwa kwa siku 2 Burundi

Waandamanaji nchini Burundi wanaompinga rais wa Burundi Pierre Nkurunziza kuwania muhula wa tatu wameagiza kusitishwa kwa maandamano hayo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yaingia siku ya pili Burundi

Wanaharakati nchini Burundi wameendelea na maandamano wakipinga uteuzi wa Rais Nkurunzinza kuwania awamu ya tatu

 

11 years ago

Mwananchi

Treni ya Mwakyembe yasitishwa kwa siku 3

 Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) imesitisha usafiri wa treni jijini Dar es Salaam kwa siku tatu kutokana na sababu za kiufundi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yachacha Burundi

Maandamano yanaendelea kwenye mji mkuu wa Burundi Bujumbura kupinga uamuzi wa rais Pierre Nkurunziza wa kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

Mtanzania

Maandamano makubwa Burundi leo

Pierre-NkurunzizaNa Waandishi Wetu, Bujumbura na Dar
WAPINZANI wanaompinga Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza, wametangaza kufanya maandamano makubwa ya kupinga hatua ya kiongozi huyo kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Pamoja na hali hiyo, Rais Nkurunziza, jana alijitokeza kwa mara ya kwanza tangu jaribio la kumpindua lishindwe na kueleza tishio la nchi yake kushambuliwa na kikundi cha wanamgambo wa Kiislamu wa Al Shabaab cha Somalia.
Wakati akiyasema hayo, Rais Nkurunziza hakutoa kauli yoyote kuhusiana na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano:Jeshi lasambazwa Burundi

Jeshi la Burundi limetawanywa nchini humo kujaribu kukabiliana na wale wanaopinga hatua ya rais Pierre Nkurunziza kutangaza kuwania muhula wa tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaharakati wafanya maandamano Burundi

Wanaharakati wa upinzani nchini Burundi wameingia mitaani kwa siku ya pili kupinga hatua ya rais wa taifa hilo kuwania muhula wa 3

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandalizi wa maandamano waonywa Burundi

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza ameonya kuwaadhibu vikali wote wanaopanga maandamano ya raia dhidi yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maandamano yapamba moto Burundi

Waandamanaji nchini Burundi wameingia mitaani hasira baada ya Rais wa taifa hilo kuamua kugombea nafasi hiyo tena kwa muhula wa 3

 

10 years ago

Michuzi

WANNE WAFARIKI KATIKA MAANDAMANO BURUNDI

Vijana wakiwa katika Maandamano nchini Burundi
Watu wanne wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa katika maandamano ya kupinga hatua ya Rais Pierre Nkurunziza kuwania Urais kwa Mhula wa tatu.Mamia ya watu wamejitokeza kwenye maandamano hayo huku baadhi wakichoma moto baadhi ya vitu katika nchi hiyo.

Siku ya jumanne Mahakama ya Katiba ilikubali kuwa Rais Nkurunziza anaweza kugombea urais ambapo ilisema ni halali yeye kuwania tena urais kwa kipindi kingine cha miaka mitano.

Katika hotuba yake...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani