TRENI YA MWAKYEMBE DAR YASITISHWA GHAFLA, WANANCHI WALALAMIKA
JIJI la Dar es Salaam ambalo lilikuwa limepiga hatua ya maendeleo kwa kuwa na treni ya mjini, limepata pigo baada ya huduma ya usafiri wa treni hiyo kusitishwa. Wiki iliyopita nilipata nafasi na kwenda kuchunguza kama kweli treni hiyo ya kutoka Ubungo hadi katikati ya mji kama kweli huduma imesitishwa, nikathibitishiwa kuwa kweli hakuna usafiri huo. Kama Mwanafukunyua Fukunyua, nilijitahidi kuwahoji askari waliokuwepo kwenye...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Jun
Treni ya Mwakyembe yasitishwa kwa siku 3
11 years ago
Habarileo15 Jul
Akemea wanaoiibia treni ya Mwakyembe
NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Dk Charles Tizeba amekemea baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wanaohujumu huduma ya usafiri wa treni ya Jiji, maarufu ‘ treni ya Mwakyembe’ kwa kuiba mapato.
9 years ago
Mwananchi23 Aug
Treni ya Mwakyembe kurejea tena
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
‘Treni ya Mwakyembe’ kurejea Jumatatu
UONGOZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), imesitisha huduma ya usafiri wa treni jijini Dar es Salaam, maarufu kama ‘ Treni ya Mwakyembe’ hadi keshokutwa itakaporejea kama kawaida. Kwa mujibu...
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
Wananchi walalamika kuhujumiwa mradi wa DART
BAADHI ya wananchi wameelezea kusikitishwa na mwenendo wa uharibifu unaozidi kushika kasi katika miundombinu ya mradi wa mabasi yaendayo haraka (BRT). Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wananchi hao walisema uharibifu huo...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s72-c/unnamed%2B(53).jpg)
HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-g7ffI9sue3Y/VVIaIOZ3DaI/AAAAAAAHW4A/6pz9zzB1Rc0/s640/unnamed%2B(53).jpg)
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha Nguruka, shime wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--Qz5OE7chIw/U4Tlih2DV7I/AAAAAAAFlkg/uM5B1UHppMw/s72-c/b1.jpg)
Wabunge kutoka Nchi Wanacham wa Jumuiya ya Madola (CPA) walalamika kufanywa “ATM” na wananchi
![](http://4.bp.blogspot.com/--Qz5OE7chIw/U4Tlih2DV7I/AAAAAAAFlkg/uM5B1UHppMw/s1600/b1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xmz-dbIG-7g/U4TlihDYGMI/AAAAAAAFlk4/Ps71svIzDEk/s1600/b2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-HwwcQBKZon8/U4Tli1Bkr-I/AAAAAAAFlk8/PFZrtWsftSE/s1600/b3.jpg)
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Bomoabomoa yasitishwa Dar es Salaam
Mawakili wa upande wa serikali na walalamikaji wakiandaa nakala zao kabla ya madai hayo kusikilizwa.
Wakazi wa Kinondoni wakipongezana baada ya kupokea taarifa za kusitishwa kwa bomoabomoa kwenye makazi yao.
Askari wakidumisha usalama.
MAHAKAMA ya Ardhi jijini Dar imesimamisha zoezi la bomoabomoa iliyowakumba wakazi maeneo ya mabondeni wa Wilaya ya Kinondoni baada ya wakazi hao kufikisha ombi hilo mahakamani hapo mapema wiki iliyopita.
Ombi hilo lilitokana na malalamiko ya wakazi wengi...
10 years ago
Habarileo23 Oct
Madereva daladala, abiria Dar walalamika
BAADHI ya abiria na madereva wa daladala katika eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam wamelalamikia kutowekwa vibao vya kuelekeza kufungwa kwa vituo vya mabasi vilivyokuwa vikitumika eneo la Ubungo baada ya kuhamishiwa kituo kipya cha mabasi cha Simu 2000.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10