Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Akemea wanaoiibia treni ya Mwakyembe

NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Dk Charles Tizeba amekemea baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wanaohujumu huduma ya usafiri wa treni ya Jiji, maarufu ‘ treni ya Mwakyembe’ kwa kuiba mapato.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Treni ya Mwakyembe kurejea tena

Miezi kadhaa baada treni ya kubeba abiria jijini Dar es Salaam kusitisha safari zake kutokana na ubovu, imeelezwa kuwa hali hiyo ni kutokana na uchakavu wa injini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Treni ya Mwakyembe’ kurejea Jumatatu

UONGOZI wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), imesitisha huduma ya usafiri wa treni jijini Dar es Salaam, maarufu kama ‘ Treni ya Mwakyembe’ hadi keshokutwa itakaporejea kama kawaida. Kwa mujibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Treni ya Mwakyembe yasitishwa kwa siku 3

 Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) imesitisha usafiri wa treni jijini Dar es Salaam kwa siku tatu kutokana na sababu za kiufundi.

 

10 years ago

GPL

TRENI YA MWAKYEMBE DAR YASITISHWA GHAFLA, WANANCHI WALALAMIKA

JIJI la Dar es Salaam ambalo lilikuwa limepiga hatua ya maendeleo kwa kuwa na treni ya mjini, limepata pigo baada ya huduma ya usafiri wa treni hiyo kusitishwa. Wiki iliyopita nilipata nafasi na kwenda kuchunguza kama kweli treni hiyo ya kutoka Ubungo hadi katikati ya mji kama kweli huduma imesitishwa, nikathibitishiwa kuwa kweli hakuna usafiri huo. Kama Mwanafukunyua Fukunyua, nilijitahidi kuwahoji askari waliokuwepo kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

ABIRIA WA TRENI MKOANI DODOMA KUTUMIKA KITUO KIDOGO CHA KATOSHO BADALA YA STESHENI YA TRENI YA KIGOMA KWA TRENI ZA ABIRIA KUANZIA FEBRUARI 18, 2015

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitka kutangaza kuwa treni za abiria za kwenda Kigoma hazitofika katika stesheni ya Kigoma badala yake zitatumia kituo kidogo cha Katosho.
Kwa mujibu wa wa taarifa ya Uongozi wa TRL lilitolewa Februari 16, 2015 uamuzi wa treni  kutofika katika stesheni ya Kigoma  unatokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha mjini  Kigoma na hivyo kuzoa mchanga ambao umefunika tuta la reli katika eneo la  stesheni ya Kigoma.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo abiria wote...

 

9 years ago

Mwananchi

Treni ya mizigo yaanguka, abiria 1,000 wa treni wakwama Dodoma

Zaidi ya abiria 1,000 waliokuwa wakisafiri kwa treni ya Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mikoani ya Kigoma na Mwanza wamekwama mkoani hapa baada ya treni ya mizigo kuanguka kati ya Kituo cha Itigi na Kitalaka.

 

10 years ago

Michuzi

HUDUMA YA TRENI YA DELUXE KUSIMAMA KATIKA KITUO CHA NGURUKA KUANZIA TRENI ITAKAYOANDOKA DAR JUMAPILI IJAYO MEI 17, 2015

Uongozi wa Kampuni  ya Reli Tanzania  –TRL unachukua  fursa hii kuwataarifu wateja wetu wote na Watanzania kwa ujumla na hasa maeneo ya kituo cha Reli cha Nguruka mkoani Kigoma, kuwa treni yetu maarufu ya Deluxe itasimama kituoni hapo kuteremsha na kupakia  abiria.
Kwa taarifa hii ambayo ilikuwa ikisubiriwa kwa hamu na Wakazi wa maeneo yanayozunguka kituo cha  Nguruka, shime  wajitokeze kwa wingi kukata tiketi za safari kwa mujibu wa mahitaji yao . Halikadhalika safari za deluxe zitakuwa wiki...

 

10 years ago

Habarileo

DC akemea wanaochochea migogoro

MKUU wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Khalid Mandia amekemea tabia ya baadhi ya watu wanaochochea migogoro kwa wananchi kwa kutumia itikadi za kisiasa, imani za kidini na ukabila.

 

9 years ago

Habarileo

Samia akemea fujo

MGOMBEA mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu amewasihi vijana kuacha mpango wa kufanya fujo katika kipindi cha kampeni na hata siku ya kupiga kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani