DC akemea wanaochochea migogoro
MKUU wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, Khalid Mandia amekemea tabia ya baadhi ya watu wanaochochea migogoro kwa wananchi kwa kutumia itikadi za kisiasa, imani za kidini na ukabila.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Watu 20 wanaochochea mauaji C.A.R
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2oRUA-niL6s/Ve3kG3TeH0I/AAAAAAAH3Mo/ZeR2vftPDeU/s72-c/305.jpg)
WANANCHI KUWENI MAKINI NA WANAOCHOCHEA CHUKI-BALOZI SEIF IDDI
![](http://3.bp.blogspot.com/-2oRUA-niL6s/Ve3kG3TeH0I/AAAAAAAH3Mo/ZeR2vftPDeU/s640/305.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oBgbNQTdHR4/Ve3kIBhGpnI/AAAAAAAH3M0/F37RPE2aRz8/s640/316.jpg)
CCM wa Kijiji cha Kwale Wilaya ya Micheweni akitekeleza ahadi aliyotoa
kwa Wazee Waasisi wa Kijiji hicho ya kufika kusalimiana nao.
![](http://4.bp.blogspot.com/-OzI1ihg5mSI/Ve3kIlMdBdI/AAAAAAAH3M4/7bhQ-DSmot8/s640/317.jpg)
wakifuatilia Hotuba ya Balozi Seif hayupo pichani alipofika Kjijini
hapo kusalimiana nao.
MAKAMU wa Pili wa Rais wa...
9 years ago
Habarileo01 Oct
Samia akemea fujo
MGOMBEA mwenza wa urais kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu amewasihi vijana kuacha mpango wa kufanya fujo katika kipindi cha kampeni na hata siku ya kupiga kura.
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Bilal akemea uharibifu mazingira
10 years ago
Habarileo19 Jun
Spika akemea utoro bungeni
SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Anne Makinda amesikitishwa na wimbi la wabunge kutofika kwenye vikao vya mjadala wa bajeti ya serikali mwaka 2015/16.
10 years ago
Habarileo14 Jun
Kikwete akemea mauaji ya albino
RAIS Jakaya Kikwete amewasihi Watanzania kuacha kuua watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), badala yake wawalinde kwani ni aibu kwa baadhi ya watu kuwaua au kushiriki kuwaua wenzao kwa nia ya kujipatia fedha.
10 years ago
Mwananchi15 Feb
Dk Kone akemea mila potofu
11 years ago
Habarileo15 Jul
Akemea wanaoiibia treni ya Mwakyembe
NAIBU Waziri wa Uchukuzi, Dk Charles Tizeba amekemea baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) wanaohujumu huduma ya usafiri wa treni ya Jiji, maarufu ‘ treni ya Mwakyembe’ kwa kuiba mapato.
11 years ago
Habarileo23 Feb
Makinda akemea 'utajiri' bungeni
SPIKA wa Bunge la Tanzania, Anne Makinda ametaka wanaotarajia kugombea katika uchaguzi mkuu wa 2015 kujiweka sawa kiuchumi badala ya kutegemea kutajirika wakiwa bungeni. Wakati Makinda akitoa ushauri huo kwa wajumbe wanawake wa Bunge Maalumu la Katiba, kwa upande wake Mwenyekiti wa Wabunge Wanawake, Anna Abdalah amesema wanaosema posho ya Sh 300,000 kwa siku haitoshi wana sababu zao.