Kikwete akemea mauaji ya albino
RAIS Jakaya Kikwete amewasihi Watanzania kuacha kuua watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), badala yake wawalinde kwani ni aibu kwa baadhi ya watu kuwaua au kushiriki kuwaua wenzao kwa nia ya kujipatia fedha.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/n7Vr5lDn5dE/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili06 Mar
Rais Kikwete:Mauaji ya Albino ni fedheha
10 years ago
Mwananchi07 Mar
MAUAJI ALBINO: Albino: Adhabu ya kifo sawa
10 years ago
Habarileo20 Mar
Al-Shaimaa akemea unyanyapaa kwa albino
MBUNGE wa Viti Maalumu, Al- Shaimaa Kwegyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa kwa wenye ulemavu wa ngozi.
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Burundi:Rais Nkurunziza akemea mauaji
10 years ago
Habarileo17 Aug
Mwinyi akemea wanaotumia Uislamu kufanya mauaji
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amekemea tabia ya watu wanaofanya vitendo vya mauaji dhidi ya wenzao kwa kutumia imani ya dini ya Kiislamu, huku akiwataka viongozi na Waislamu wote kujilinda dhidi ya watu hao.
11 years ago
Mwananchi05 May
Kikwete akemea wanaoambukiza vvu
10 years ago
Uhuru Newspaper11 Mar
MAUAJI YA ALBINO
Wapiga ramli 225 wanaswa na polisi
NA MWANDISHI WETU
JUHUDI za kukomesha matukio ya kihalifu ya kuwaua watu wenye ulemavu wa ngozi ‘Albino’, zimeanza kuzaa matunda baada ya Jeshi la Polisi kuwashikilia wapiga ramli 225.
Kushikiliwa kwa wapiga ramli hao kunatokana na operesheni inayoendeshwa na polisi ya kupambana na vitendo vya kikatili ili kuhakikisha matukio hayo hayaendelei kutokea.
Taarifa iliyotolewa jana mjini Dar es Salaam na Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, ilisema wapiga...