Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Al-Shaimaa akemea unyanyapaa kwa albino

MBUNGE wa Viti Maalumu, Al- Shaimaa Kwegyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa kwa wenye ulemavu wa ngozi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mwongozo wa mh. Al Shaimaa bungeni dhidi ya albino

Na Mwandishi Wetu, DodomaMBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Al Shaimaa Kweigyir, ameitaka serikali kuhakikisha kwamba hukumu za watu wanaokutwa na hatia dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), zinafanyika kwa uwazi, sambamba na kutocheleweshwa ili kulinda roho za Watanzania wanaoendelea kuangamia.
Al-Shaimaa aliyasema hayo bungeni jana wakati akitoa maelezo binafsi kwa kupitia Kanuni ya Kudumu ya Bunge ya (50) 1 inayomtaka mbunge kwa ruhusa ya Spika kutoa maelezo binafsi yanayomhusu au...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Albino walaani unyanyapaa

CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino-TAS), Mkoa wa Mwanza, kimelaani unyanyapaa wanaofanyiwa na kuiomba serikali kuwapatia huduma bora za kiafya na elimu. Wameomba pia kusaidiwa vyumba kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete akemea mauaji ya albino

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na watoto wenye ulemavu wa ngozi baada ya kuwasili katika Uwanja wa michezo wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha jana ambapo aliongoza Maadhimisho ya Siku ya Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi Duniani. (Picha na Freddy Maro).RAIS Jakaya Kikwete amewasihi Watanzania kuacha kuua watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), badala yake wawalinde kwani ni aibu kwa baadhi ya watu kuwaua au kushiriki kuwaua wenzao kwa nia ya kujipatia fedha.

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI ATOA NENO KWA VIONGOZI WAKUU WA DINI KUHUSU MAPAMBANO DHIDI VIRUSI VYA UKIMWI, UNYANYAPAA

 Na Mwandishi Wetu, Michuzi Globu ya jamiSPIKA wa Bunge Job Ndugai ameziomba  taasisi za dini pamoja na viongozi wakuu wa dini zote kushiriki kikamilifu katika mapambano dhidi ya maambukizi mapya ya virusi vya UKIMWI huku akitoa rai ya kuondoa unyanyapaa kwa wanaoishi na virusi vya UKIMWI.
Ametoa ombi hilo jijini Arusha wakati akifungua mkutano maalum ulioandaliwa na ofisi yake kupitia NACOPHA chini ya mradi wa Hebu Tuyajenge unaofadhiliwa na USAID kutoka kwa watu wa Marekani. Mutano huo...

 

11 years ago

Habarileo

Pinda akemea uongozi kwa fedha

MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mizengo Pinda ameungana na uongozi wa juu wa chama hicho kukemea matumizi ya fedha katika kusaka uongozi.

 

5 years ago

Michuzi

SPIKA NDUGAI ELIMU YA VVU NDIO DAWA YA KUONDOA UNYANYAPAA KWA WATU WANAOISHI NA VVU NCHINI

Na Ahmed Mahmoud, Arusha
Serikali imeeleza kuwa suala la elimu ya masuala ya vvu kwa jamii ni jambo endelevu na linatakiwa kuendelea kutolewa hususani kwenye suala la unyanyapaa ambalo limendelea kushika kasi kwa watu wanaoishi na maambukizi ya ukimwi.

Akiongea kwenye mkutano wa viongozi wa dini na madhehebu mbalimbali ulioandaliwa na Bunge na Baraza la watu walioishi na VVU Spika wa bunge Job Ngugai alisema kuwa katika umoja wao viongozi wa dini wanauwezo wa kuvunja ukimya kuondoa ubaguzi na...

 

11 years ago

GPL

MWILI WA TYSON WAAGWA, MCHUNGAJI AKEMEA ROHO ZA MAUTI KWA WASANII

Mwili wa aliyekuwa muongozaji wa filamu za Kibongo, George Otieno Okumu 'Tyson' jana umeagwa katika Viwanja vya Leaders Kinondoni, Dar kabla ya kusafirishwa kuelekea nchini Kenya kwa mazishi. Katika shughuli hizo za kuaga, Mchungaji Mwaiposa aliwaombea wasanii kwa kukemea roho za…

 

5 years ago

Michuzi

DC JOKATE AKEMEA VIKALI UTORO,MIMBA ZA UTOTONI NA UBAKAJI KWA WATOTO WADOGO

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo akifafanya jambo katika mkutano wa kazi kwa watendaji wa kata, watendaji wa vijiji, pamoja na wenyeviti wa vijiji vipatavyo 84 ambapo walikutana kwa lengo la kujadili masuala ya maendeleo pamoja na changamoto zilizopo.
Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Mussa Gama akitoa mada wakati wa mkutano huo ambao aliuandaaa kwa ajili ya kuwakutanisha viongozi na watendaji mbali mbali wa ngazi za vijiji, kata pamoja na tarafa ili kujadili...

 

10 years ago

BBCSwahili

Unyanyapaa ni Changamoto:China

Hatma ya mvulana mmoja ,China anayeishi na virusi vya wa ukimwi iko mashakani baada ya wanakijiji kumtaka ahame kijijni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani