Albino walaani unyanyapaa
CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino-TAS), Mkoa wa Mwanza, kimelaani unyanyapaa wanaofanyiwa na kuiomba serikali kuwapatia huduma bora za kiafya na elimu. Wameomba pia kusaidiwa vyumba kwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Mar
Al-Shaimaa akemea unyanyapaa kwa albino
MBUNGE wa Viti Maalumu, Al- Shaimaa Kwegyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa kwa wenye ulemavu wa ngozi.
10 years ago
Mwananchi08 Mar
Waganga walaani mauaji ya albino
10 years ago
Habarileo10 Mar
Tiba Asili walaani mauaji ya albino
SHIRIKISHO la Vyama vya Tiba Asili Tanzania limelaani mauaji wanayofanyiwa walemavu wa ngozi, vikongwe na kunajisi watoto yanayofanyika kwa baadhi ya mikoa ya Kanda ya Ziwa.
10 years ago
Habarileo23 Mar
Wasabato walaani ukatili kwa albino
KANISA la Waadventista Wasabato Nyanda za Juu Kusini, limelaani visa vya kikatili wanavyotendewa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), ikiwemo kukatwa viungo vyao na kuuawa, likisema watu wanaowatendea uovu huo wamelaaniwa na Mungu.
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Unyanyapaa ni Changamoto:China
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cPou8QnNLgo/Xp4Cy8ed2BI/AAAAAAALnnk/JMhdEjpuxzknDW7Hxc5AEICyQwpnOeIfACLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1587407145492.jpg)
WANANCHI WAACHE UNYANYAPAA WA CORONA
Afisa Tarafa Mihambwe amepinga vikali tabia mbaya ya kunyanyapaa Watu wanaokuja toka kwenye maeneo ya wilaya na mikoa mingine kwa kuwahisi wameambukizwa virusi vya Corona pasipo kuthibitishwa na Wataalamu wa afya.
Gavana Shilatu amewasisitiza Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe kuzijua vyema dalili za Mtu mwenye virusi vya Corona kama vile kikohozi kibichi, homa, maumivu ya mwili, kuuma kwa koo na awe amethibitishwa na Wataalamu wa afya na sio kuanza ubaguzi wa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Wenye VVU walia na unyanyapaa
SHERIA ya kuzuia na kudhibiti ukimwi ya mwaka 2008, ilipitishwa na Bunge Februari 2008, kisha Rais Jakaya Kikwete kuweka saini kuidhinisha kuanza kutumika rasmi. Katika sheria hiyo sehemu ya saba...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Jamii yatakiwa kuacha unyanyapaa
JAMII imetakiwa kuondokana na suala la unyanyapaa kwani ni janga kubwa linalochangia ubaguzi na kuhatarisha maisha ya watu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Faharisi...
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Unyanyapaa usitawale Bunge Maalumu la Katiba
NI zaidi ya miaka mitatu sasa Kamati ya Faharisi ya Unyanyapaa Tanzania imekuwa ikijitahidi kutoa elimu kwa jamii na kuandaa mikakati kabambe itakayosaidia kupunguza na hata kuondoa kabisa suala la...