WANANCHI WAACHE UNYANYAPAA WA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cPou8QnNLgo/Xp4Cy8ed2BI/AAAAAAALnnk/JMhdEjpuxzknDW7Hxc5AEICyQwpnOeIfACLcBGAsYHQ/s72-c/FB_IMG_1587407145492.jpg)
Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe amepinga vikali tabia mbaya ya kunyanyapaa Watu wanaokuja toka kwenye maeneo ya wilaya na mikoa mingine kwa kuwahisi wameambukizwa virusi vya Corona pasipo kuthibitishwa na Wataalamu wa afya.
Gavana Shilatu amewasisitiza Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe kuzijua vyema dalili za Mtu mwenye virusi vya Corona kama vile kikohozi kibichi, homa, maumivu ya mwili, kuuma kwa koo na awe amethibitishwa na Wataalamu wa afya na sio kuanza ubaguzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ban ataka watu waache unyanyapaa
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: Jinsi madereva wa malori ya kubeba mizigo wanavyokumbwa na unyanyapaa
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona: Unyanyapaa umedhihirika kuwa kikazwo kikubwa katika vita hii
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YCzBh2HE6jg/XrLg96VNetI/AAAAAAALpTs/s0drzBeC6hMmGWP8G4jx0w3zuL_RL0ecACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200506-WA0084.jpg)
wananchi watakiwa kuelimishana kuhusu corona.
Na Woinde Shizza,ARUSHA
Chama Cha wafanyabiashara ( TCCIA)Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Trade Mark East Africa na TRIAS kimegawa vifaa kinga vyenye thamani ya sh,mil. 4 kwenye masoko matatu katika jiji la Arusha kama njia Moja wapo ya kupambana na maambikizo ya ugonjwa hatari wa Corona na kuunga mkono jitihada za serikali dhidi ya ugonjwa huo.
Akikabidhi vifaa hivyo zikiwemo ndoo za maji ya kutiririka,vitakasa mikono na Barakao ,mwenyekiti wa TCCIA ,Wolter Maeda aliwataka...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s72-c/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
DC CHONGOLO AWATAKA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-xj0oRV6hiPs/Xm-YbiVNZZI/AAAAAAALj7c/cjy7pOJjNmg_vVz7Q1Lbv5CBG5Jn_1HHQCLcBGAsYHQ/s640/94c8666d-7856-4233-975b-ad85943350a1.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akiwa ameambata na Katibu Tawala wa Wilaya hiyo Bi. Stella Msofe na viongozi wengine wakata na mitaa, wakitoka kukagua bandari kavu ambayo leo hii ameizindua rasmi.
![](https://1.bp.blogspot.com/-1HYbrMxQCCE/Xm-YZ0DjD_I/AAAAAAALj7Q/qeYzhb5AMoUG26we6obbRpqCJ0xvBeUPgCLcBGAsYHQ/s640/310d8972-be45-472c-b7b1-db233b7efcd9.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo akizungumza na wananchi wa Kata ya Mbweni aliofika kusikiliza na kutatua kero zao.
![](https://1.bp.blogspot.com/-Dw8DQVkDfnE/Xm-YbNzozjI/AAAAAAALj7Y/K7KLd600rGUziCIu-NtqRmgib09xK4kMQCLcBGAsYHQ/s640/67183cf8-afcd-4912-b52d-866df4982f6c.jpg)
Wananchi wa Kata ya Mbweni , wakimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo alipofika kwa ajili ya kusikiliza na kutatua kero...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9AZe3MQUqB8/XmekAT1g6vI/AAAAAAALidc/sM5Y5vLB5foQsn4W5U33YzRWPs0Mdc3RQCLcBGAsYHQ/s72-c/b92722be-1e86-43e3-a068-61abe5ad5369.jpg)
WAPENI ELIMU YA KUJIKINGA NA CORONA WANANCHI-DKT.CHAULA
![](https://1.bp.blogspot.com/-9AZe3MQUqB8/XmekAT1g6vI/AAAAAAALidc/sM5Y5vLB5foQsn4W5U33YzRWPs0Mdc3RQCLcBGAsYHQ/s640/b92722be-1e86-43e3-a068-61abe5ad5369.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto-Idara kuu afya Dkt. Zainab Chaula akiongea na waganga wakuu wa mikoa(hawapo pichani) wakati wa mkutano wa kujadili utayari wa kukabiliana na tishio la mlipuko wa virus vya corona kwenye ukumbi wa mkutano wa hospitali ya taifa muhimbili-mloganzila
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/f20de537-5f8c-41e4-bfd4-7af3fc7841ae.jpg)
Baadhi wa waganga wakuu wa mikoa na maofisa kutoka wizara ya afya walioshiriki mkutano wa kujadili tishio la ugonjwa wa Corona.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/7d025d66-c4a5-450c-9891-ceb0cc0b5666.jpg)
Naibu Mkuu anayeshughulikia afya kutoka Ofisi ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-T3mmpZoIE-U/XnBYN3CM7FI/AAAAAAALkBo/18yWYQ4Npccx6ptgnfCC5O54JFQOpDbsACLcBGAsYHQ/s72-c/08ef7071-4442-414f-8a29-e8cddae4db8e.jpg)
WANANCHI TANDAHIMBA WATAKIWA KUCHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA WA CORONA
Akizungumza leo Wilayani hapa Kapinga amesema kuwa wananchi wanatakiwa kuacha kusalimiana kwa kushikana mikono ili kujikinga na Corona
Amesema kila mwananchi ahakikishe ana nawa mikono na maji tiririka na sabuni ikiwa ni miongoni mwa hatua za awali za kujikinga
Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Antpas Swai amesema tayari wametenga Zahanati ya mtegu kwa ajili ya...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Albino walaani unyanyapaa
CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino-TAS), Mkoa wa Mwanza, kimelaani unyanyapaa wanaofanyiwa na kuiomba serikali kuwapatia huduma bora za kiafya na elimu. Wameomba pia kusaidiwa vyumba kwa...
10 years ago
BBCSwahili18 Dec
Unyanyapaa ni Changamoto:China