Unyanyapaa ni Changamoto:China
Hatma ya mvulana mmoja ,China anayeishi na virusi vya wa ukimwi iko mashakani baada ya wanakijiji kumtaka ahame kijijni.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Albino walaani unyanyapaa
CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino-TAS), Mkoa wa Mwanza, kimelaani unyanyapaa wanaofanyiwa na kuiomba serikali kuwapatia huduma bora za kiafya na elimu. Wameomba pia kusaidiwa vyumba kwa...
5 years ago
Michuzi
WANANCHI WAACHE UNYANYAPAA WA CORONA
Afisa Tarafa Mihambwe amepinga vikali tabia mbaya ya kunyanyapaa Watu wanaokuja toka kwenye maeneo ya wilaya na mikoa mingine kwa kuwahisi wameambukizwa virusi vya Corona pasipo kuthibitishwa na Wataalamu wa afya.
Gavana Shilatu amewasisitiza Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe kuzijua vyema dalili za Mtu mwenye virusi vya Corona kama vile kikohozi kibichi, homa, maumivu ya mwili, kuuma kwa koo na awe amethibitishwa na Wataalamu wa afya na sio kuanza ubaguzi wa...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Wenye VVU walia na unyanyapaa
SHERIA ya kuzuia na kudhibiti ukimwi ya mwaka 2008, ilipitishwa na Bunge Februari 2008, kisha Rais Jakaya Kikwete kuweka saini kuidhinisha kuanza kutumika rasmi. Katika sheria hiyo sehemu ya saba...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Jamii yatakiwa kuacha unyanyapaa
JAMII imetakiwa kuondokana na suala la unyanyapaa kwani ni janga kubwa linalochangia ubaguzi na kuhatarisha maisha ya watu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Faharisi...
11 years ago
Mwananchi23 Mar
Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto
11 years ago
Tanzania Daima10 Apr
Unyanyapaa usitawale Bunge Maalumu la Katiba
NI zaidi ya miaka mitatu sasa Kamati ya Faharisi ya Unyanyapaa Tanzania imekuwa ikijitahidi kutoa elimu kwa jamii na kuandaa mikakati kabambe itakayosaidia kupunguza na hata kuondoa kabisa suala la...
11 years ago
BBCSwahili28 Oct
Ban ataka watu waache unyanyapaa
10 years ago
Habarileo20 Mar
Al-Shaimaa akemea unyanyapaa kwa albino
MBUNGE wa Viti Maalumu, Al- Shaimaa Kwegyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa kwa wenye ulemavu wa ngozi.
10 years ago
Dewji Blog06 Mar
Unyanyapaa, Ukatili na Mauaji dhidi ya Albinism..Imetosha!
Balozi wa kujitolea wa kampeni ya mapambano dhidi ya mauaji ya albino, Henry Mdimu (katikati) akizungumza na vyombo vya habari (hawapo pichani) wengine ni wajumbe wa kamati hiyo. Kushoto ni Monica Joseph na Kulia ni Masoud Kipanya.
Baadhi ya wa Wajumbe wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mkutano wao na waandishi wa habari.
..Sote kwa pamoja tuungane kupinga vitendo hivi viovu
Na Andrew Chale wa Modewji blog
“Sote kwa pamoja tuungane kupinga vitendo viovu wanavyofanyiwa ...