Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Unyanyapaa ni Changamoto:China

Hatma ya mvulana mmoja ,China anayeishi na virusi vya wa ukimwi iko mashakani baada ya wanakijiji kumtaka ahame kijijni.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Albino walaani unyanyapaa

CHAMA cha Watu Wenye Ulemavu wa Ngozi nchini (Albino-TAS), Mkoa wa Mwanza, kimelaani unyanyapaa wanaofanyiwa na kuiomba serikali kuwapatia huduma bora za kiafya na elimu. Wameomba pia kusaidiwa vyumba kwa...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WAACHE UNYANYAPAA WA CORONA

Na Mwandishi wetu Mihambwe
Afisa Tarafa Mihambwe amepinga vikali tabia mbaya ya kunyanyapaa Watu wanaokuja toka kwenye maeneo ya wilaya na mikoa mingine  kwa kuwahisi wameambukizwa virusi vya Corona pasipo kuthibitishwa na Wataalamu wa afya.
Gavana Shilatu amewasisitiza Wananchi wa Tarafa ya Mihambwe kuzijua vyema dalili za Mtu mwenye virusi vya Corona kama vile kikohozi kibichi, homa, maumivu ya mwili, kuuma kwa koo na awe amethibitishwa na Wataalamu wa afya na sio kuanza ubaguzi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenye VVU walia na unyanyapaa

SHERIA ya kuzuia na kudhibiti ukimwi ya mwaka 2008, ilipitishwa na Bunge Februari 2008, kisha Rais Jakaya Kikwete kuweka saini kuidhinisha kuanza kutumika rasmi. Katika sheria hiyo sehemu ya saba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jamii yatakiwa kuacha unyanyapaa

JAMII imetakiwa kuondokana na suala la unyanyapaa kwani ni janga kubwa linalochangia ubaguzi na kuhatarisha maisha ya watu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Faharisi...

 

11 years ago

Mwananchi

Changamoto kwa Wafanyabiashara wadogo wapewa changamoto

Wafanyabiashara wadogo wametakiwa kuacha woga na kuanza kutumia taasisi za fedha kama njia rafiki na chachu ya maendeleo na kukuza mitaji yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unyanyapaa usitawale Bunge Maalumu la Katiba

NI zaidi ya miaka mitatu sasa Kamati ya Faharisi ya Unyanyapaa Tanzania imekuwa ikijitahidi kutoa elimu kwa jamii na kuandaa mikakati kabambe itakayosaidia kupunguza na hata kuondoa kabisa suala la...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ban ataka watu waache unyanyapaa

Katibu mkuu wa umoja wa mataifa Ban Ki Moon amezitaka nchi duniani kuacha tabia ya unyanyapaa kwa madaktari na manesi waliofanya kazi katika nchi zilizoathiriwa na ugonjwa wa Ebola.

 

10 years ago

Habarileo

Al-Shaimaa akemea unyanyapaa kwa albino

MBUNGE wa Viti Maalumu, Al- Shaimaa Kwegyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa kwa wenye ulemavu wa ngozi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Unyanyapaa, Ukatili na Mauaji dhidi ya Albinism..Imetosha!

IMG_0904

Balozi wa kujitolea wa kampeni ya mapambano dhidi ya mauaji ya albino, Henry Mdimu (katikati) akizungumza na vyombo vya habari (hawapo pichani) wengine ni wajumbe wa kamati hiyo. Kushoto ni Monica Joseph na Kulia ni Masoud Kipanya.

IMG_0966

Baadhi ya wa Wajumbe wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kumaliza mkutano wao  na waandishi wa habari.

..Sote kwa pamoja tuungane kupinga vitendo hivi viovu

Na Andrew Chale wa Modewji blog

“Sote kwa pamoja tuungane kupinga vitendo viovu wanavyofanyiwa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani