Mwongozo wa mh. Al Shaimaa bungeni dhidi ya albino
Na Mwandishi Wetu, DodomaMBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Al Shaimaa Kweigyir, ameitaka serikali kuhakikisha kwamba hukumu za watu wanaokutwa na hatia dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), zinafanyika kwa uwazi, sambamba na kutocheleweshwa ili kulinda roho za Watanzania wanaoendelea kuangamia.
Al-Shaimaa aliyasema hayo bungeni jana wakati akitoa maelezo binafsi kwa kupitia Kanuni ya Kudumu ya Bunge ya (50) 1 inayomtaka mbunge kwa ruhusa ya Spika kutoa maelezo binafsi yanayomhusu au...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Mar
Al-Shaimaa akemea unyanyapaa kwa albino
MBUNGE wa Viti Maalumu, Al- Shaimaa Kwegyir, amekemea vikali unyanyapaa unaofanywa kwa wenye ulemavu wa ngozi.
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
UN yakemea mashambulizi dhidi ya Albino
10 years ago
BBCSwahili08 Apr
Kampeni dhidi ya ubaguzi wa albino
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Vita dhidi ya mauaji ya Albino TZ
10 years ago
StarTV09 Jan
Mapambano dhidi ya mauaji ya Albino, UN yahimiza uwajibikaji.
Na Rogers Wilium na Maliganya Charahani,
Mwanza.
Shirika la Umoja wa Mataifa UN limesema mauaji ya Albino, vitendo vya ukatili wa kijinsia na tatizo la watoto wa mitaani nchini T anzania yanaweza kutatuliwa kwa uwajibikaji wa mamlaka na idara zote nchini.
Hoja hiyo inakuja katika ziara ya Mkurugenzi mkazi wa Shirika hilo Alvaro Rodriguez aliyoifanya kwenye mikoa ya Mwanza, Mara na Shinyanga na kujionea changamoto hizo kwa ujumla.
Mikoa ya kanda ya Ziwa bado inakumbana na tatizo la...
9 years ago
Vijimambo15 Oct
Tanzania na harakati dhidi ya mauaji ya Albino: Balozi Manongi
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/ny5jqDXwym4n0tpsKGrRaxkzq_npES4_mUSr02A6pnLPb3PgPrWjGj-aIJUnZuOW8bKovk-2jjyQEfvSSwpo0YWUaaPb4OwfaBpz_Ubhe5fx3HdCMsecgVWsSHeZkHqn5cz1Hrk1SLamdV3Bi2-WMtGG3Q=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2015/10/Manongi-22-300x257.jpg)
Balozi Tuvako Manongi, mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa. (Picha:UN/Idhaa ya Kiswahili/Joseph Msami)
Katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi amezungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya mauaji ya albino nchini Tanzania na kile ambacho kinafanyika kuondokana na vitendo hivyo ambavyo ameviita ni janga. Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa alizungumza na Balozi...
10 years ago
Dewji Blog08 Jun
Ushahidi wakwamisha kesi dhidi ya ukatili kwa albino
Mtaalamu wa masuala ya vyombo vya habari jamii na Mkufunzi Bi Rose Haji Mwalimu (aliyesimama) wakati wa ufunguzi kijiji cha Usagara, wilayani Misungwi mkoani Mwanza hivi karibuni.
Na Modewjiblog team, Mwanza
Tabia ya watu kukwepa kutoa ushahidi mahakamani ni sababu mojawapo ya wahalifu wa mauaji ya albino kutotiwa hatiani na kuachiwa huru.
Hayo yameelezwa katika warsha zilizoendeshwa mfululizo wilayani Misungwi, Kahama na Bariadi za ushirikishwaji wa jamii katika kuzuia na kutokomeza...
10 years ago
StarTV26 Feb
Utekaji Albino, chunguzi waendelea dhidi ya wahusika Mwanza.
Na Ester Nangale,
Mwanza
Kukithiri kwa vitendo vya ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi albinism umekuwa ni janga la kitaifa linalozidi kuleta hofu miongoni mwa jamii na kutishia kupotea sifa ya nchi ya Tanzania ya kisiwa cha amani.
Bado watu hawa wanadaiwa kuishi kwa hofu bila ya kuwa na uhakika wa kuiona kesho kutokana na vitendo hivi kukithiri na wahusika wa vitendo hivyo kushindwa kubainika na kuchukuliwa hatua stahiki ndani ya muda muafaka.
Walemavu wa ngozi wamezidi kupaza...
11 years ago
Mwananchi28 Mar
Tuhuma nzito bungeni,ni za rushwa dhidi ya Waziri Mkuu Pinda