Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kampeni dhidi ya ubaguzi wa albino

Kampeni ya kupambana na ubaguzi dhidi ya albino imeanzishwa nchini Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Nusu ya Watanzania wameshuhudia ubaguzi dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira

Watu binafsi na jamii kwa ujumla wanakiri kuwakosea
heshima watu wenye ulemavu
4 Novemba 2014, Dar es Salaam: Karibu nusu ya wananchi (46%) wameripoti kuwahi kushuhudia ubaguzi  dhidi ya watu wenye ulemavu katika ajira. Wakati huo huo, ni wananchi wawili tu kati ya kumi (17%) waliokiri kufahamu asasi/mashirika yanayotoa upendeleo kwenye suala la kuwaajiri watu wenye ulemavu. Wananchi waliripoti kuwa miongoni mwa mashirika haya asilimia 38 ni taasisi za kiserikali. Vile vile wananchi waliripoti...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Ubaguzi dhidi ya raia wa Kigeni Afrika Mashariki kwa hofu ya virusi

Huku maambukizi ya Corona yakiendelea kuongezeka Afrika, hofu ya janga hili linalokumba dunia limepelekea ubaguzi dhidi ya raia wa kigeni Afrika Mashariki.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN yakemea mashambulizi dhidi ya Albino

Umoja wa Mataifa umetoa wito kwa Serikali ya Tanzania kupambana na vitendo vya mashambulizi dhidi ya Albino

 

10 years ago

BBCSwahili

Vita dhidi ya mauaji ya Albino TZ

Kampeni kubwa imezinduliwa Tanzania, iliyoongozwa na rais wa nchi hiyo Jakaya Kikwete, kuchangisha pesa kuwalinda albino.

 

10 years ago

Michuzi

Mwongozo wa mh. Al Shaimaa bungeni dhidi ya albino

Na Mwandishi Wetu, DodomaMBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Al Shaimaa Kweigyir, ameitaka serikali kuhakikisha kwamba hukumu za watu wanaokutwa na hatia dhidi ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), zinafanyika kwa uwazi, sambamba na kutocheleweshwa ili kulinda roho za Watanzania wanaoendelea kuangamia.
Al-Shaimaa aliyasema hayo bungeni jana wakati akitoa maelezo binafsi kwa kupitia Kanuni ya Kudumu ya Bunge ya (50) 1 inayomtaka mbunge kwa ruhusa ya Spika kutoa maelezo binafsi yanayomhusu au...

 

10 years ago

StarTV

Mapambano dhidi ya mauaji ya Albino, UN yahimiza uwajibikaji.

Na Rogers Wilium na Maliganya Charahani,

Mwanza.

 

Shirika la Umoja wa Mataifa UN limesema mauaji ya Albino, vitendo vya ukatili wa kijinsia na tatizo la watoto wa mitaani nchini T anzania yanaweza kutatuliwa kwa uwajibikaji wa mamlaka na idara zote nchini.

Hoja hiyo inakuja katika ziara ya Mkurugenzi mkazi wa Shirika hilo Alvaro Rodriguez aliyoifanya kwenye mikoa ya Mwanza, Mara na Shinyanga na kujionea changamoto hizo kwa ujumla.

Mikoa ya kanda ya Ziwa bado inakumbana na tatizo la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ushahidi wakwamisha kesi dhidi ya ukatili kwa albino

image004 (8)

Mtaalamu wa masuala ya vyombo vya habari jamii na Mkufunzi Bi Rose Haji Mwalimu (aliyesimama) wakati wa ufunguzi kijiji cha Usagara, wilayani Misungwi mkoani Mwanza hivi karibuni.

Na Modewjiblog team, Mwanza

Tabia ya watu kukwepa kutoa ushahidi mahakamani ni sababu mojawapo ya wahalifu wa mauaji ya albino kutotiwa hatiani na kuachiwa huru.

Hayo yameelezwa katika warsha zilizoendeshwa mfululizo wilayani Misungwi, Kahama na Bariadi za ushirikishwaji wa jamii katika kuzuia na kutokomeza...

 

9 years ago

Vijimambo

Tanzania na harakati dhidi ya mauaji ya Albino: Balozi Manongi


Balozi Tuvako Manongi, mwakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa. (Picha:UN/Idhaa ya Kiswahili/Joseph Msami)
Katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa wakilishi wa kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa Balozi Tuvako Manongi amezungumza na waandishi wa habari kuhusu hali ya mauaji ya albino nchini Tanzania na kile ambacho kinafanyika kuondokana na vitendo hivyo ambavyo ameviita ni janga. Assumpta Massoi wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa alizungumza na Balozi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani