Mwinyi akemea wanaotumia Uislamu kufanya mauaji
RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi amekemea tabia ya watu wanaofanya vitendo vya mauaji dhidi ya wenzao kwa kutumia imani ya dini ya Kiislamu, huku akiwataka viongozi na Waislamu wote kujilinda dhidi ya watu hao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jun
Kikwete akemea mauaji ya albino
RAIS Jakaya Kikwete amewasihi Watanzania kuacha kuua watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), badala yake wawalinde kwani ni aibu kwa baadhi ya watu kuwaua au kushiriki kuwaua wenzao kwa nia ya kujipatia fedha.
10 years ago
BBCSwahili03 Aug
Burundi:Rais Nkurunziza akemea mauaji
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLadPkBmjBOvf3uP3diX7LV78B9S04sPXz9LunPfV45jsAbKru*v9DXf8PWBJ7g6NWDh82YkiIy3jViosVo-oy*Ug/1.jpg)
ISIS WAENDELEA KUFANYA MAUAJI YA KUTISHA HUKO SYRIA NA IRAQ
11 years ago
CloudsFM25 Jun
POLISI KUFANYA MSAKO MKALI KWA WATUHUMIWA WA MAUAJI YA SISTA WA KANISA KATOLIKI
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam imeanzisha msako mkali, kuwatafuta watu waliohusika na mauaji ya Mhasibu wa Kanisa Katoliki Parokia ya Makoka jijini Dar es Salaam, Sista Cresencia Kapuri (50), ambao utahusisha vikosi vyote vya Polisi. Vikosi hivyo ni Usalama Barabarani, askari wa doria wanaotumia pikipiki na magari, wapelelezi na askari Polisi wa kawaida.
Mauaji ya mtawa huyo, yalitokea juzi mchana katika eneo la Ubungo Riverside, jijini humo, ambapo alipigwa risasi na watu wanaodaiwa...
10 years ago
BBCSwahili07 Jun
Mwanablogu aliyetusi uislamu kuadhibiwa
11 years ago
Michuzi18 Jul
11 years ago
Habarileo30 Jul
Shekhe ataka Uislamu utofautishwe na ugaidi
SHEKHE wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum ameitaka jamii kutofautisha Uislamu na ugaidi, kwa kuwa dini hiyo na matendo hayo ni tofauti mithili ya ardhi na mbingu.
10 years ago
Mwananchi03 Jun
Madai haya ni zaidi ya Ukristo na Uislamu
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfA7sHKld8Fcrr2r5Tcct2RcmVmhXeD6kZrb4WxaD4w8A-1nECc7rHZqGyz8lWgKF*5D*sHwWSPFT3vCvJuliNGI/MeriamYahiaIbrahimIshag.jpg?width=650)
MWANAMKE ALIYEASI UISLAMU ASAFIRISHWA KWENDA ITALIA