Matumizi ya picha ya Rais yasitishwa
SERIKALI imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli katika ofisi za umma na wananchi kwa ujumla.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-OvLL244lsqI/Vjz-fcJTvsI/AAAAAAAAolE/eri3fbivJCo/s1600/1.jpg)
SERIKALI YASITISHA MATUMIZI YA PICHA RASMI YA RAIS MAGUFULI
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-B4WhBVZDiK0/VjzK-ojeCBI/AAAAAAADB7Y/zDDavhHLw48/s72-c/images.jpg)
NEWS ALERT: Serikali yasitisha matumizi ya Picha Rasmi ya Rais Magufuli
![](http://3.bp.blogspot.com/-B4WhBVZDiK0/VjzK-ojeCBI/AAAAAAADB7Y/zDDavhHLw48/s640/images.jpg)
Awali majira ya saa 6: 00 mchana leo Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi hizo na umma wa Watanzania kuhusu kuanza tena kwa...
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Serikali yasitisha matumizi ya picha ya Rais wa awamu ya 5 Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene.
Serikali inapenda kuzitaarifu ofisi za umma na wananchi kwa ujumla kwamba imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Serikali ya Awamu ya Tano, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena.
Awali majira ya saa 6: 00 jana mchana Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi...
9 years ago
Mwananchi07 Nov
Serikali yasitisha matumizi picha ya Dk Magufuli
9 years ago
VijimamboPICHA: JUST PICHA: MWANA DIASPORA NA MBIO ZA UBUNGE: WANAMWITA RAIS WA MBARALI
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Bomoabomoa yasitishwa
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Polisi Jamii yasitishwa Kariakoo
10 years ago
BBCSwahili22 Jan
Matokeo ya uchaguzi yasitishwa Zambia
9 years ago
Habarileo26 Dec
Operesheni kuondoa wafugaji yasitishwa
MAWAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi na wa Maliasili na Utalii, wameonya askari wa Wanyamapori wanaojihusisha na utesaji, unyanyasaji na kujipatia fedha haramu kwa kukamata mifugo au wakulima, waache mara moja badala yake, wazingatie maadili ya kazi yao.