Operesheni kuondoa wafugaji yasitishwa
MAWAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi na wa Maliasili na Utalii, wameonya askari wa Wanyamapori wanaojihusisha na utesaji, unyanyasaji na kujipatia fedha haramu kwa kukamata mifugo au wakulima, waache mara moja badala yake, wazingatie maadili ya kazi yao.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAFUGAJI WALIOVAMIA ENEO LA LOLIONDO WATAKIWA KUONDOA MIFUGO YAO
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, akijindaa kumtwisha ndoo ya maji mkazi wa Kata ya Olosokwani, ambako alizindua mradi...
9 years ago
StarTV24 Dec
Kuondoa Migogoro Ya Ardhi TPCF yaitaka Serikali kuanzisha sera ya wafugaji
Mtandao unaoshughulika na utetezi wa haki za wafugaji hapa nchini umeitaka serikali kuwezesha upatikanaji wa sera ya ufugaji wa asili pamoja na kupima ardhi ya wafugaji ili kuondoa migogoro ya wafugaji na wakulima.
Aidha mtandao huo umeikumbusha serikali kuwa kutokutekeleza wajibu na kupelekea haki za binadamu kukiukwa ni kinyume cha sheria na uvunjifu wa mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu.
Akizungumza jijini Arusha katika ofisi za mtandao wa wafugaji Mkurugenzi wa mtandao huo...
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
9 years ago
Mwananchi23 Dec
Bomoabomoa yasitishwa
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Bomoabomoa yasitishwa Dar es Salaam
Mawakili wa upande wa serikali na walalamikaji wakiandaa nakala zao kabla ya madai hayo kusikilizwa.Wakazi wa Kinondoni wakipongezana baada ya kupokea taarifa za kusitishwa kwa bomoabomoa kwenye makazi yao.
Askari wakidumisha usalama.
MAHAKAMA ya Ardhi jijini Dar imesimamisha zoezi la bomoabomoa iliyowakumba wakazi maeneo ya mabondeni wa Wilaya ya Kinondoni baada ya wakazi hao kufikisha ombi hilo mahakamani hapo mapema wiki iliyopita.
Ombi hilo lilitokana na malalamiko ya wakazi wengi...
10 years ago
BBCSwahili27 Jul
Mashambulizi dhidi ya Houthi yasitishwa
10 years ago
BBCSwahili21 Mar
Huduma ya Texi yasitishwa Ujerumani
10 years ago
Mwananchi07 Nov
Polisi Jamii yasitishwa Kariakoo
9 years ago
Habarileo08 Nov
Matumizi ya picha ya Rais yasitishwa
SERIKALI imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Awamu ya Tano, John Magufuli katika ofisi za umma na wananchi kwa ujumla.