Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii Afrika Mashariki kutengewa saa moja ya MTV Base

Wasanii - DiamondJULIET MORI (TUDARCO)

KITUO cha MTV Base kimezindua kipindi kipya kitakachokuwa kikishughulika na wasanii wa Afrika Mashariki kwa kuwahoji na kujua mazingira wanayokutana nayo katika kazi zao kwa ujumla.

Mtandao wa Ghafla Kenya umeeleza kwamba kipindi hicho cha saa moja kitaangalia zaidi maisha ya msanii kiundani na namna anavyoweza kupata kitakachoangalia maisha ya msanii kwa kumtambulisha kiundani, namna anavyoweza kupata mafanikio na aina ya muziki anayofanya.

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

WATU WAMESHAANZA KUPIGA KURA SAA MOJA ASUBUHI KWA SAA ZA AFRIKA MASHARIKI


 Hapa wananchi wakihakiki majina yao kwenye ubao wa kuhakiki  majina hili kupata fursa ya kupiga kuraHapa ni karatasi ya upigaji kura kuanzia ya urais ubunge na udiwani baada ya kuhakiki jina lako unakuja hapa na kukabiziwa karatasi hizi tatu ili kukamirisha  zoezi zima na upigaji kura. Mwanachi akiakiki jina lake kwenye ubao wa majina ya wapigaji kura kituoni hapo
Mabox ma 3 ya kupigia kura kuanzia uraisi ubunge na udiwani.

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee ashika nafasi ya pili kwenye orodha ya MTV Base ya wasanii wa kike walio juu Afrika

12346294_444980479044924_1318155553_n

Vanessa Mdee amekuwa na mwaka wenye mafanikio makubwa kimataifa.

12346294_444980479044924_1318155553_n

Ndio muimbaji wa kike aliye busy zaidi na show si ndani tu ya Tanzania, bali Afrika nzima.

MTV Base wametoa orodha ya wasanii watano walio juu Afrika kwa sasa na hitmaker huyo wa Never Ever akishika nafasi ya pili.

Orodha hiyo ni:

1. Yemi Alade (Nigeria)
2. Vanessa Mdee (Tanzania)
3. Seyo Shay (Nigeria)
4. Cynthia Morgan (Nigeria)
5. Bucie (Afrika Kusini)

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

10 years ago

Bongo5

Wanjera ya Ommy Dimpoz yaingia kwenye chart ya muziki wa Afrika ya MTV Base

Video ya wimbo wa Ommy Dimpoz, ‘Wanjera’ imeingia kwenye chart ya muziki wa Afrika ya kituo cha runinga cha MTV Base. Chart hiyo ya nyimbo 10 inajulikana kwa jina la ‘Official African Chart’. Wanjera imekamata nafasi ya 09 wiki hii. Video hiyo ilifanyika nchini Afrika Kusini na kuongozwa na Godfather. Wema Sepetu na Idris Sultan […]

 

9 years ago

Bongo5

Director Enos Olik wa Kenya azungumzia kuhusu wasanii kushoot video SA, na baadhi ya video kutoka EA kutochezwa Trace na MTV Base

enos4

Enos Olik ni muongozaji na mtayarishaji wa video za muziki kutoka Kenya, ambaye ameshafanya kazi na wasanii wengi wa Afrika kuanzia A-list hadi wale wa kawaida.

enos-2

Shaa, Young Dee, Alikiba na Christian Bella ni baadhi ya wasanii wa Bongo ambao wameshampa ulaji director huyo kufanya video zao. Video zingine alizofanya ni ‘Kioo’ ya Jaguar, ‘Sura Yako remix’ ya Sauti Sol na Iyanya, ‘Never Been Loved’ ya Maurice Kirya, ‘Touch Me There’ ya Redsan ft. Nyla na zingine kadhaa wa kadhaa.

enos4

Bongo5...

 

10 years ago

GPL

WASANII AFRIKA MASHARIKI KUNUFAIKA NA EALLYWOOD

Baadhi ya wasanii kutoka nchi mbalimbali za Afrika Mashariki wanaounda  EALLYWOOD wakiwa na Mratibu wao (aliyekaa katikati yao). Msanii Slim na Hashim Kambi kutoka Tanzania pamoja na Margareth wa Kenya wakiwa katika mkutano. Msanii Jackline Pentzel, Quincy kutoka Kenya  na Fidelite  wa…

 

11 years ago

Mwananchi

Sarafu moja kuchochea ukuaji wa uchumi Afrika Mashariki

Wengi wanaitazama hatua iliyochukuliwa na viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ya kuridhia kuanzishwa kwa sarafu ya pamoja ni sawa na kusukuma tofali kwenye kina kirefu cha maji bila kuwa na matarajio ya kulifikia tena tofali hilo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

LUPITA NYONG’O: Mfano kwa wasanii wa kike Afrika Mashariki

KESHO ikiwa ni Siku ya Wanawake Duniani, mwanadada msanii mwenye asili ya Kenya, Lupita Nyong’o, anaisherehekea kwa furaha ya aina yake, kutokana na mafanikio ya kutwaa tuzo kubwa yenye umaarufu...

 

11 years ago

GPL

MKUTANO WA 12 WA SIKU MOJA WA VIONGOZI WAKUU WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI ARUSHA

 Wakuu wa Mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki wakizindua kitabu rasmi cha Muongozo wa Majaji wa Jumuiya hiyo kwenye Mkutano wa 12 wa siku moja wa Jumuiya hiyo uliofanyika ukumbi wa Kimataifa wa Arusha { AICC }.  Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kwa niaba yaRais wa Zanzibar Dr. Ali Mohamed Sheni akipokea kitabu wakati wa Mkutano wa Wakuu wa Jumuiya ya Afrika… ...

 

10 years ago

Bongo5

Ushirikiano huu wa Afrika Mashariki ndio njia pekee ya kula sahani moja na Wanaijeria!

Kwa mtazamo wetu, Afrika Mashariki haijawahi kuwa na ushirikiano wa karibu kama tunaouona sasa. Hebu tuangalie kwa ufupi.. Turudi nyuma hadi pale Victoria Kimani alipowashirikisha Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz kufanya wimbo Prokoto. Shaa alichaguliwa na kituo cha Citizen TV kuwa host wa show yao ya Sakata Mashariki na kiukweli watazamaji wamempokeza vizuri. Shaa huyo […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani