WASANII AFRIKA MASHARIKI KUNUFAIKA NA EALLYWOOD
Baadhi ya wasanii kutoka nchi mbalimbali za Afrika Mashariki wanaounda  EALLYWOOD wakiwa na Mratibu wao (aliyekaa katikati yao). Msanii Slim na Hashim Kambi kutoka Tanzania pamoja na Margareth wa Kenya wakiwa katika mkutano. Msanii Jackline Pentzel, Quincy kutoka Kenya  na Fidelite wa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
LUPITA NYONG’O: Mfano kwa wasanii wa kike Afrika Mashariki
KESHO ikiwa ni Siku ya Wanawake Duniani, mwanadada msanii mwenye asili ya Kenya, Lupita Nyong’o, anaisherehekea kwa furaha ya aina yake, kutokana na mafanikio ya kutwaa tuzo kubwa yenye umaarufu...
9 years ago
Mtanzania09 Sep
Wasanii Afrika Mashariki kutengewa saa moja ya MTV Base
JULIET MORI (TUDARCO)
KITUO cha MTV Base kimezindua kipindi kipya kitakachokuwa kikishughulika na wasanii wa Afrika Mashariki kwa kuwahoji na kujua mazingira wanayokutana nayo katika kazi zao kwa ujumla.
Mtandao wa Ghafla Kenya umeeleza kwamba kipindi hicho cha saa moja kitaangalia zaidi maisha ya msanii kiundani na namna anavyoweza kupata kitakachoangalia maisha ya msanii kwa kumtambulisha kiundani, namna anavyoweza kupata mafanikio na aina ya muziki anayofanya.
10 years ago
Bongo504 Mar
Collabo za wasanii wa Afrika Mashariki na Magharibi zinazidi kuongezeka, Sasa ni Chameleone (UG) na Patoranking (NG)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
10 years ago
Mwananchi20 Nov
Watanzania tujifunze kunufaika na jumuiya A. Mashariki
9 years ago
Bongo527 Nov
Wasanii wachanga kunufaika pia na uchezwaji wa nyimbo zao
![Muziki Pesa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Muziki-Pesa-300x194.jpg)
Baada ya Chama cha Haki Miliki Tanzania (COSOTA) pamoja na kampuni ya kusimania haki miliki za wasanii, Copyrights Management East Africa Limited (CMEA) kutangaza neema kwa wasanii kuanza kunufaika kwa kulipwa mirahaba itokanayo na kazi zao kuchezwa kwenye redio na TV, wasanii wachanga wameanza kuwa na hofu na mfumo huo.
muziki pesa
Akizungumza na 255 ya XXL kupitia Clouds FM, Afisa Mtendaji Mkuu COSOTA, Doreen Anthony alisema kila kazi ya msanii itakayosikika itatakiwa kulipiwa.
“Kwetu sisi...
9 years ago
Bongo507 Oct
Kukosekana kwa umoja wa wasanii kunasababisha wajanja wachache kunufaika — Nikki Wa Pili
10 years ago
Bongo523 Apr
Director Godfather wa Afrika Kusini kufanya ziara ya siku 7 Afrika Mashariki na crew yake
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s72-c/MMGM1318.jpg)
Makamu Mwenyekiti wa UVCCM achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana Afrika Kanda ya Afrika Mashariki
![](http://4.bp.blogspot.com/-UUK_Ajjuasw/VH7X9X31GPI/AAAAAAAG06o/jPrs4NgIiEo/s1600/MMGM1318.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bBWv9yQNvSI/VH7X7f0UB4I/AAAAAAAG06g/XLbe4qUejRc/s1600/MMGM1313.jpg)