Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAGUFULI AAHIDI NEEMA KWA WAVUVI, WACHIMBAJI WADOGOWADOGO MWANZA NA GEITA

Dk John Magufuli akihutubia nyomi la watu lililofurika katika Kijiji cha Nkome, Geita Vijijini. Magufuli akizuru makaburi ya babu yake  Marko Nyahenga na bibi yake Anastazia yaliyopo kijiji cha Katoma, Geita Vijijini.
Ibada fupi ya maombi ikifanyika kuwaombea marehemu…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI APIGWA NA BUTWAA NYOMI LA GEITA, AAHIDI KUSHUGHULIKIA MATATIZO YA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania   kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi katika mkutano wake wa kampeni  uliofanyika katika uwanja wa shule ya Msingi Kalangalala mjini Geita leo na kuhudhuriwa na maelfu ya wananchi.
Mgombea Urais Huyo amewaambia wananchi wa Geita kuwa mara atakapoingia Ikulu, moja ya changamoto anazotarajiwa kuzipa kipaumbele ni pamoja na suala la kutatua mgogoro wa wachimbaji madini wadogo wadogo.


Magufuli ameasema...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli ajitwisha mzigo wa wachimbaji wadogowadogo

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli ameahidi kumaliza kero ya muda mrefu inayowakabili wachimbaji wadogowadogo nchini kwa kuwatafutia maeneo maalumu kwa ajili ya shughuli zao za uchimbaji.

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AAHIDI NEEMA KWA WANABUKOBA

Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dk. Jonh Pombe Magufuli akiwahutubia wakazi wa Bukoba, mkoani Kagera jana. Chege na Temba wakiwaburudisha wakazi wa Bukoba wakati wa mkutano huo. Wakazi wa Bukoba wakimsikiliza kwa makini Dk. Magufuli.…

 

9 years ago

StarTV

Dk. Magufuli aahidi kuwalinda wachimbaji wadogo

Mgombea Kiti cha Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli amesema serikali atakayoiongoza baada ya kuingia madarakani itawalinda wachimbaji wadogo wadogo waweze kulitaidia taifa katika kuinua uchumi wa Nchi.

Dokta Magufuli ambaye amemaliza ziara yake ya Kampeni mkoa wa Simiyu na kuianza ziara yake mkoa wa Tabora katika wilaya ya Igunga,anasema wachimbaji wadogo wakiwekewa utaratibu mzuri wana nafasi kubwa ya kuinua pato la taifa.

 

Mara baada ya kuwasili wilayani...

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AAHIDI NEEMA SINGIDA, KESHO KUIANZA KONDOA‏

Magufuli akiongea na umati uliofurika katika kijiji cha Nduguti, Jimbo la Iramba mashariki. Magufuli akiongea na wakazi wa Misigiri.…

 

11 years ago

GPL

KINANA AKUTANA NA WACHIMBAJI WADOGOWADOGO WA MADINI, MERERANI

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akioneshwa vipande vya madini aina ya Tanzanite, katika mgodi wa mchimbaji mzawa wa madini ya Tanzanite Bi.Suzie Didas Kennedy. Katibu Mkuu wa CCM alitembelea migodi ya wachimbaji wadogo wa Mererani na kuzungumza nao juu ya changamoto zinazowakabili na namna ya kuzitatua. Pichani kati anayeshuhudia ni Mbunge wa Jimbo la Simanjiro, Mh. Christopher Ole Sendeka.… ...

 

11 years ago

Michuzi

STAMICO YAAHIDI NEEMA KWA WACHIMBAJI WADOGO NCHINI

2Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa STAMICO wakiwahudumia wageni waliotembelea katika banda lao kwenye maonyesho ya wiki ya Utumishi yanayoendelea kwenye viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar  3Wafanyakazi wa Shirika la Madini la Taifa wakiangali moja ya majarida ya nayoelezea shughuli za shirika hilo kutoka kulshoto ni Bibiana Ndumbaro, Denis Silas na Charles Mawala. 4 Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Shirika la Madini la Taifa STAMICO Bw. Leornald Mwakalebela akiwapatia majarida...

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Shein aahidi neema kwa wafanyabiashara

IMG_5897Na Esther Mbussi, Zanzibar

MGOMBEA urais wa Zanzibar, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohamed Shein amesema maendeleo kwa wafanyabiashara wadogo visiwani humo ni lazima.

Kutokana na hali hiyo, ameahidi kuwajengea eneo la maonyesho ya biashara ili kuwavutia wafanyabiashara wa nje.

Akizungumza katika viwanja vya Urafiki, Jimbo la Sahurimoyo mjini Unguja juzi, Dk. Shein alisema mradi huo licha ya kuwavutia wafanyabiashara, utawasaidia kutangaza biashara zao.

“Wafanyabiashara...

 

9 years ago

Habarileo

Samia aahidi neema kwa walima korosho

ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa awamu ya tano ya Serikali, imejipanga kuweka bei nzuri na ya uhakika kwa wakulima wa korosho na ufuta nchini. Hayo yalisemwa mjini hapa katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani