Samia aahidi neema kwa walima korosho
ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa awamu ya tano ya Serikali, imejipanga kuweka bei nzuri na ya uhakika kwa wakulima wa korosho na ufuta nchini. Hayo yalisemwa mjini hapa katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo13 Oct
Magufuli kuwashushia neema walima korosho
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya ujenzi ili kushusha bei na kuwawezesha wananchi kujenga nyumba bora.
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-i5FEL-0gMus/VgywlD9DmvI/AAAAAAAAESE/pdzemGRg3PA/s72-c/IMG_0132.jpg)
BI. SAMIA SULUHU AAHIDI NEEMA KWA WAKAZI WA MUSOMA MKUTANO WA KAMPENI...!
![](http://4.bp.blogspot.com/-i5FEL-0gMus/VgywlD9DmvI/AAAAAAAAESE/pdzemGRg3PA/s1600/IMG_0132.jpg)
Alisema Serikali itakayoundwa na CCM imepanga kujenga maeneo ya kisasa ya maegesho ya meli (magati) Musoma na...
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Walima korosho wapata hasara
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/magiufuli-akiwa-uwanja-wa-zimbihile-jimbo-la-muleba-kusini.jpg?width=650)
MAGUFULI AAHIDI NEEMA KWA WANABUKOBA
9 years ago
Mtanzania09 Oct
Dk. Shein aahidi neema kwa wafanyabiashara
Na Esther Mbussi, Zanzibar
MGOMBEA urais wa Zanzibar, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Ali Mohamed Shein amesema maendeleo kwa wafanyabiashara wadogo visiwani humo ni lazima.
Kutokana na hali hiyo, ameahidi kuwajengea eneo la maonyesho ya biashara ili kuwavutia wafanyabiashara wa nje.
Akizungumza katika viwanja vya Urafiki, Jimbo la Sahurimoyo mjini Unguja juzi, Dk. Shein alisema mradi huo licha ya kuwavutia wafanyabiashara, utawasaidia kutangaza biashara zao.
“Wafanyabiashara...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-UdjfrBlJkIA/VhiO3FWneUI/AAAAAAAAVUo/9o3cd3ItxCM/s72-c/E86A2555%2B%25281280x853%2529.jpg)
LOWASA AAHIDI NEEMA KWA WAKULIMA WA ZAO LA KAHAWA KILIMANJARO
![](http://2.bp.blogspot.com/-UdjfrBlJkIA/VhiO3FWneUI/AAAAAAAAVUo/9o3cd3ItxCM/s640/E86A2555%2B%25281280x853%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-O-XMLB0HGWM/VhiO_c0L1XI/AAAAAAAAVVE/AgOecnnxsFQ/s640/E86A2574%2B%25281280x853%2529.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/Magufuli-akihutubia-nyomi-la-watu-lililofurika-katika-Kijiji-cha-Nkome-Geita-Vijijini.jpg)
MAGUFULI AAHIDI NEEMA KWA WAVUVI, WACHIMBAJI WADOGOWADOGO MWANZA NA GEITA
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/--3urErrP8Ok/VgywlXnvLEI/AAAAAAAAESI/uTxzLBFt--s/s72-c/IMG_0109.jpg)
BI. SAMIA SULUHU AHAIDI NEEMA KWA WAKAZI WA MUSOMA MKUTANO WA KAMPENI
![](http://1.bp.blogspot.com/--3urErrP8Ok/VgywlXnvLEI/AAAAAAAAESI/uTxzLBFt--s/s640/IMG_0109.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-i5FEL-0gMus/VgywlD9DmvI/AAAAAAAAESE/pdzemGRg3PA/s640/IMG_0132.jpg)
Alisema Serikali itakayoundwa na CCM imepanga kujenga maeneo ya kisasa ya maegesho ya meli (magati) Musoma na...
9 years ago
Habarileo11 Sep
Samia aahidi ajira kwa 40% ya vijana
MGOMBEA mwenza wa urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan, amesema katika ilani ya CCM ya awamu ya serikali ya tano, wameahidi kutoa ajira kwa asilimia 40 ya vijana ambazo zitatokana na viwanda, vikubwa na vidogo.