Walima korosho wapata hasara
Asilimia 70 ya wakulima wa korosho wa mikoa ya Ruvuma na Pwani katika msimu uliopita wamepata hasara baada ya kuuza korosho zao chini ya Sh1,000, wakati wakulima wenzao wa Mikoa ya Tanga,Lindi na Mtwara wamepata faida kwa kuuza bei ya kati ya Sh1000 hadi Sh1,350.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo13 Oct
Magufuli kuwashushia neema walima korosho
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya ujenzi ili kushusha bei na kuwawezesha wananchi kujenga nyumba bora.
9 years ago
Habarileo15 Sep
Samia aahidi neema kwa walima korosho
ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa awamu ya tano ya Serikali, imejipanga kuweka bei nzuri na ya uhakika kwa wakulima wa korosho na ufuta nchini. Hayo yalisemwa mjini hapa katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan.
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
BCU wapata hasara ya Mil. 55/-
CHAMA cha Ushirika cha Biharamulo (BCU) kimepata hasara ya sh milioni 55.7 kutokana na uchakavu wa mitambo yake. Kwa mujibu wa ukaguzi uliofanywa na Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa...
10 years ago
MichuziMFUKO WA ZAO LA KOROSHO WATENGA BILIONI 6 KUJENGA VIWANDA VYA KUBANGUA KOROSHO.
Akizungumza katika hafla ya utiaji saini wa mikataba baina ya mfuko huo na wataalamu washauri jana (Jumatano Mei 6, 2015), Mwenyekiti wa Bodi ya...
10 years ago
Dewji Blog06 May
Mfuko wa kuendeleza zao la Korosho watenga bilioni 6 kujenga viwanda vya kubangulia Korosho
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Korosho Tanzania, Mundhir Mundhir akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam wakati wa hafla ya utiaji saini wa mikataba ya ujenzi wa viwanda vitatu vya korosho katika Wilaya za Mtwara, Tunduru na Mkuranga kati ya Mfuko Mfuko wa kuendeleza Zao la Korosho Nchini na wataalamu washauri wa kutoka Chuo Kikuu cha Ardhi cha Jijni Dar es Salaam na Shule ya Elimu ya Biashara katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mtendaji...
10 years ago
Habarileo25 Jun
NSSF yawafaidisha walima kahawa
WAKULIMA wa zao la kahawa wilayani Mbinga wameanza kunufaika na huduma za bima ya afya kutoka Shirika la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Walima matunda walilia kiwanda
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Walima miwa kupewa hatimiliki
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Walima nyanya walalamikia ukosefu wa soko