Walima matunda walilia kiwanda
Wakulima wa matunda na mbogamboga wilayani hapa, wameiomba Serikali itekeleze ahadi yake ya kuwajengea kiwanda cha kusindika matunda ili wajihakikishie soko la uhakika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wakulima wa chai Tanga walilia kiwanda cha Mponde
KUTOKANA na wakulima wa chai wilayani Lushoto kukosa sehemu ya kuuza zao lao hilo kwa kipindi cha mwaka mmoja sasa wameamua kutafuta njia za kisheria zaidi. Kiwanda walichokuwa wanakitegemea kuuza...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Kiwanda cha matunda Madeke hatarini kufa
KIWANDA cha kusindika matunda cha Madeke kilichozinduliwa miezi saba iliyopita na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kinaelekea kufa baada ya kukosa fedha za uendeshaji. Wakulima wa Wilaya ya Njombe kilipo kiwanda hicho wameeleza masikitiko yao wakisema hali hiyo itarudisha nyuma mwamko wao wa uzalishaji wa matunda.
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Walima miwa kupewa hatimiliki
11 years ago
Mwananchi13 Mar
Walima korosho wapata hasara
10 years ago
Habarileo25 Jun
NSSF yawafaidisha walima kahawa
WAKULIMA wa zao la kahawa wilayani Mbinga wameanza kunufaika na huduma za bima ya afya kutoka Shirika la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Walima nyanya walalamikia ukosefu wa soko
9 years ago
Habarileo13 Oct
Magufuli kuwashushia neema walima korosho
MGOMBEA urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema akichaguliwa kushika nafasi hiyo, atatumia utajiri wa gesi uliopo katika mikoa ya Kusini, kutoa ruzuku kwa vifaa vya ujenzi ili kushusha bei na kuwawezesha wananchi kujenga nyumba bora.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Walima maparachichi kupatiwa soko Uarabuni
9 years ago
Habarileo15 Sep
Samia aahidi neema kwa walima korosho
ILANI ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa awamu ya tano ya Serikali, imejipanga kuweka bei nzuri na ya uhakika kwa wakulima wa korosho na ufuta nchini. Hayo yalisemwa mjini hapa katika mkutano wa kampeni wa Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan.