Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyekiuka ujenzi maghorofa Ilemela ‘hakamatiki’

SAKATA la ukiukwaji wa taratibu za ujenzi wa maghorofa matatu eneo la Nyasaka limeingia katika su

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Maghorofa janga jingine

Dar es Salaam. Licha ya ujenzi maghorofa marefu kutajwa kuwa kielelezo cha maendeleo katika miji mikubwa, jijini Dar es Salaam hali ni tofauti kutokana na hofu iliyopo kuhusu ubora wa majengo hayo, mfumo wa majitaka, mipango miji na ukosefu wa maeneo ya maegesho.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mwanaume aliyekiuka amri ya kukaa nyumbani aliwa na mamba Rwanda

Mwanaume mmoja nchini Rwanda ambaye alikiuka amri ya kukaa nyumbani ambayo inaendelea kutekelezwa nchini Rwanda na kuamua kwenda kuvua samaki ameuawa na mamba, Meya wa wilaya ya Kamonyi kusini mwa Rwanda ameiambia BBC.

 

9 years ago

Dewji Blog

Baraza la Ujenzi lafanikiwa kutatua migogoro ya ujenzi 41 mwaka 2015, lawataka wananchi kuwa makini kabla ya kufanya ujenzi

PIX 1 (1)

Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho  akizungumza na waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi nchini.

PIX 3 (1)

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mtendaji Mkuu wa Baraza la Taifa la Ujenzi Mhandisi Dkt. Leonard Chamuriho  leo Jijini Dar es salaam kuhusu Baraza hilo lilivyofanikiwa kutatua migogoro kwa kushirikiana na wadau wa sekta ya Ujenzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mkurugenzi Ilemela matatani

MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza, Alhaji Zuberi Mbyana, anadaiwa kushindwa kuchukua hatua kwa watendaji wawili wa Mtaa wa Chamwenda, Kata ya Nyakato ambao walitoroka na fedha za wananchi....

 

10 years ago

Mwananchi

Lukuvi aibua uvundo Ilemela

Ni katika Idara ya Ardhi, wananchi wadai kunyang’anywa maeneo yao bila maelezo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC Ilemela atuhumiwa kumlinda mwekezaji

UONGOZI wa kiwanda cha kutengeneza nondo cha Nyakato Steel Mills (NSM), na uongozi wa Serikali ya Wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, umeingia kwenye mgogoro na wananchi wapatao 200, wanaodai kutaka...

 

9 years ago

Raia Mwema

Viashiria hatari kampeni za uchaguzi Ilemela

UCHAGUZI Mkuu katika Jimbo la Ilemela mkoani Mwanza unakabiliwa na hatari ya kutofanyika kwa uhur

Christopher Gamaina

 

10 years ago

StarTV

Manispaa Ilemela kuwawajibisha watendaji Ardhi

Na Wambura Mtani,

Mwanza.

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza inakusudia kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wake wa idara ya ardhi na mipango miji wanaojihusisha na vitendo vya uporaji viwanja katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.

 

Hatua hii inakuja baada ya kukithiri kwa malalamiko yanayowahusisha watendaji wa idara hizo ambao wanatuhumiwa kuwahadaa wananchi kuwapimia viwanja na kisha kuwapora kwa madai kuwa maeneo yao yametengwa kwa ajili ya miradi maalumu ya...

 

9 years ago

Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)

Ilemela calls for revision of Procurement Act


Ilemela calls for revision of Procurement Act
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
THE Ilemela Municipal Executive Director, Mr John Wanga, has urged the government to review the Procurement Act of 2011 to help Local Government Authorities ( LGAs), across the country make quick decisions and purchase various items to facilitate ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani