Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkurugenzi Ilemela matatani

MKURUGENZI wa Manispaa ya Ilemela jijini Mwanza, Alhaji Zuberi Mbyana, anadaiwa kushindwa kuchukua hatua kwa watendaji wawili wa Mtaa wa Chamwenda, Kata ya Nyakato ambao walitoroka na fedha za wananchi....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Headlines baada ya headlines..panga lingine limemkuta Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela

Naibu Waziri wa Tamisemi Suleiman Jaffo amemsimamisha kazi kwa muda Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela jijini Mwanza John Wanga. Hatua ya Jaffo imekuja ili kupisha uchunguzi wa uhalali wa fedha zilizotumika kujenga uzio wa Halmashauri ya Wilaya hiyo. Amesema nafasi yake itashikiliwa kwa muda na Injinia Jacob Nathaniel hadi uchunguzi wa tuhuma hizo utakapokamilika. Unataka […]

The post Headlines baada ya headlines..panga lingine limemkuta Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela appeared first on...

 

10 years ago

Michuzi

MKURUGENZI WA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA WA MAMBO YA NJE AAGANA NA ALIYEKUWA MKURUGENZI WA UNDP NCHINI

Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Celestine Mushy akimkabidhi Kitabu kinachoelezea Vivutio mbalimbali vya Utalii vilivyopo nchini Mkurugenzi wa UNDP nchini, Bw. Philippe Poinsot, alipokuja kuaga mara baada ya kupata uhamisho wa kwenda kuwa Mratibu Mkazi wa UNDP nchini Moroco.Balozi Mushy akiwa katika mazungumzo na Bw. Philippe Poinsot mara baada ya kumkabidhi kitabu.Balozi Mushy (wa nne kulia)  akiwa katika picha ya pamoja na Bw. Poinsot (wa nne kushoto) pamoja na Maafisa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC Ilemela atuhumiwa kumlinda mwekezaji

UONGOZI wa kiwanda cha kutengeneza nondo cha Nyakato Steel Mills (NSM), na uongozi wa Serikali ya Wilaya ya Ilemela jijini Mwanza, umeingia kwenye mgogoro na wananchi wapatao 200, wanaodai kutaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Lukuvi aibua uvundo Ilemela

Ni katika Idara ya Ardhi, wananchi wadai kunyang’anywa maeneo yao bila maelezo.

 

11 years ago

TheCitizen

House team approves Ilemela report

The Parliamentary Local Authorities Accounts Committee (Laac) has approved Ilemela Municipality’s financial and construction report on its five major development projects after being satisfied that it meets the prescribed criteria.

 

9 years ago

Raia Mwema

Aliyekiuka ujenzi maghorofa Ilemela ‘hakamatiki’

SAKATA la ukiukwaji wa taratibu za ujenzi wa maghorofa matatu eneo la Nyasaka limeingia katika su

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

Viashiria hatari kampeni za uchaguzi Ilemela

UCHAGUZI Mkuu katika Jimbo la Ilemela mkoani Mwanza unakabiliwa na hatari ya kutofanyika kwa uhur

Christopher Gamaina

 

10 years ago

StarTV

Manispaa Ilemela kuwawajibisha watendaji Ardhi

Na Wambura Mtani,

Mwanza.

Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza inakusudia kuwachukulia hatua za kinidhamu watendaji wake wa idara ya ardhi na mipango miji wanaojihusisha na vitendo vya uporaji viwanja katika maeneo mbalimbali ya manispaa hiyo.

 

Hatua hii inakuja baada ya kukithiri kwa malalamiko yanayowahusisha watendaji wa idara hizo ambao wanatuhumiwa kuwahadaa wananchi kuwapimia viwanja na kisha kuwapora kwa madai kuwa maeneo yao yametengwa kwa ajili ya miradi maalumu ya...

 

10 years ago

Mtanzania

CCM wilayani Ilemela waomba suluhu

Na John Maduhu, Mwanza

BAADHI ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemtaka Katibu mpya wa chama hicho, Miraj Mtaturu, kuingilia kati na kukomesha ubabe na vitisho vinavyofanywa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ilemela, Nelson Mesha, ili kukinusuru chama hicho.

Wakizungumza na MTANZANIA jana, baadhi ya wanachama wa CCM walisema wamechoshwa na ubabe na vitisho vinavyofanywa na Mesha, hali inayotishia uhai wa chama, huku wakimtuhumu kiongozi huyo kutokuwa karibu na viongozi wenzake wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani