Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Headlines baada ya headlines..panga lingine limemkuta Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela

Naibu Waziri wa Tamisemi Suleiman Jaffo amemsimamisha kazi kwa muda Mkurugenzi wa manispaa ya Ilemela jijini Mwanza John Wanga. Hatua ya Jaffo imekuja ili kupisha uchunguzi wa uhalali wa fedha zilizotumika kujenga uzio wa Halmashauri ya Wilaya hiyo. Amesema nafasi yake itashikiliwa kwa muda na Injinia Jacob Nathaniel hadi uchunguzi wa tuhuma hizo utakapokamilika. Unataka […]

The post Headlines baada ya headlines..panga lingine limemkuta Mkurugenzi Manispaa ya Ilemela appeared first on...

MillardAyo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Panga lingine limemkuta Mkurugenzi pamoja na maofisa misitu wote..

Siku moja tu baada ya Waziri wa Mwigulu Nchemba kuwasimamisha baadhi ya watumishi kwa ubadhirifu huko Pwani, headlines zimerudi tena katika Wizara ya Maliasili na utalii baada ya Waziri Prof. Jumanne Maghembe kuwasimamisha maofisa misitu. Waziri Maghembe leo ametangaza kumsimamisha kazi Mkurugenzi wa mipango na matumizi endelevu ya rasilimali za Misitu Mohamed Kilongo na maofisa […]

The post Panga lingine limemkuta Mkurugenzi pamoja na maofisa misitu wote.. appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba …

Baada ya stori nyingi kuingia katika headlines kwa siku za hivi karibuni kuhusu uamuzi wa moja kati ya mabilionea wa Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, mengi yameandikwa na mengi yameongewa, najua unahitaji kufahamu kuhusu stori za bilionea Mohamed Dewji ambaye maarufu kama MO kuweka bayana dhamira yake ya kutaka kuinunua Simba kupitia kipindi cha […]

The post Baada ya headlines za bilionea wa 24 Afrika kutaka kuinunua klabu ya Simba, hii ndio kauli rasmi ya Simba … appeared first on...

 

9 years ago

BBC

VIDEO: Top five health headlines for 2106

Global Health correspondent Tulip Mazumdar takes a look at what health stories may dominate the headlines in 2016.

 

11 years ago

TheCitizen

Jihadists win headlines, but coalition behind Iraq drive

A brutal jihadist group has garnered headlines for an Iraq onslaught, but it is actually the leading member of a fragile Sunni coalition including Saddam loyalists and others unified only by a common enemy.

 

10 years ago

Africanjam.Com

IT'S KIM KARDASHIAN AGAIN IN HEADLINES WITH A NAKED PREGNANCY SELFIE


First they say I'm too skinny so I have to be faking it...Now they say I'm too big so I have to be faking it...SMH! Some days I'm photographed before I eat & look smaller, some days I've just eaten & I look bigger. It's all a part of the process. I think you all know me well enough to know I would document the process if I got a surrogate. Everyone's body is different, every pregnancy is very different! I've learned to love my body at every stage! I'm going to get even bigger & that's...

 

9 years ago

MillardAyo

FIFA kwenye headlines nyingine ya kumsimamisha kiongozi wake…

Kamati ya maadili ya FIFA imependekeza katibu mkuu wa shirikisho hilo linalosimamia soka duniani Jerome Valcke asimamishwe kujihusisha na mchezo wa soka kwa miaka tisa. Katibu huyo anadaiwa kutumia vibaya pesa ikiwemo uuzaji wa tiketi za kombe la duniani lililopita pamoja na kukiuka sheria za Shirikisho hilo. Awali kamati ya nidhamu alimsimamisha katibu huyo kwa […]

The post FIFA kwenye headlines nyingine ya kumsimamisha kiongozi wake… appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Liverpool Echo

Liverpool evening headlines as Klopp's transfer plans are revealed

Liverpool evening headlines as Klopp's transfer plans are revealed  Liverpool EchoPerrie Edwards Tells Us How She And Boyfriend Alex Oxlade-Chamberlain Are Spending Their Time In Quarantine  CapitalAlex Oxlade-Chamberlain's WAG Perrie Edwards opens up about coronavirus isolation  Mirror OnlinePerrie Edwards jokes about destroying Oxlade-Chamberlain's PS4  Teamtalk.comPerrie Edwards opens up on life in lockdown with Liverpool star Alex Oxlade-Chamberlain  Liverpool EchoView Full coverage on...

 

9 years ago

MillardAyo

Headlines 10 za magazeti ya Ulaya, kabla ya Jose Mourinho kufukuzwa Chelsea …

Ikiwa ni siku tano zimepita toka uongozi wa bodi ya Chelsea utangaze kumfuta kazi aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo Jose Mourinho, mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee headlines 10 za magazeti ya Ulaya kabla ya Chelsea kuamua maamuzi ya kumfukuza kazi Jose Mourinho. Hii pia inatajwa kama dalili ya kocha wa sasa wa Man […]

The post Headlines 10 za magazeti ya Ulaya, kabla ya Jose Mourinho kufukuzwa Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani