GONJWA JINGINE LAIBUKA BONGO

Mbu wa Aedes aegypti anayesambaza gonjwa hatari la Chikungunya pamoja na homa ya Dengue. Majanga! Huku hali ya sintofahamu ikiendelea kuwakumba wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam na nchi nzima kufuatia kuzuka kwa ugonjwa wa homa ya Dengue, gonjwa lingine hatari lisilo na chanjo wala tiba limezuka, Risasi Jumamosi linakuwa la kwanza kukujuza. Gonjwa hilo liitwalo Chikungunya, linasambazwa na virusi wa jamii ya...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
GONJWA LA AJABU LAIBUKA JIJINI DAR
11 years ago
GPL
ESHA BUHETI GONJWA GONJWA, TUMUOMBEENI
10 years ago
Mtanzania08 Apr
Kundi hatari laibuka
Na Mwandishi Wetu, Kilimanjaro
Kundi hatari la vijana limeibuka wilayani mwanga mkoani Kilimanjaro na kuzua hofu. Kundi hilo la vijana wapatao 40, wanadaiwa kupewa mafunzo ya kijeshi na watu wasiofamika wilayani humo.
Vijana hao kwa muda wa miezi kadhaa inadaiwa wamekuwa wakipewa mafunzo ya kijeshi katika vijiji vya Lang’ata na Kirya kwa lengo la kuandaliwa kufanya matukio ya kihalifu nchini.
Habari za uhakika kutoka wilayani Mwanga zinasema hali hiyo imezua wasiwasi mkubwa kwa wananchi...
11 years ago
GPL
KANISA LA WALA NYASI LAIBUKA!
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Timbwili laibuka mkutano Simba
NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM
MKUTANO mkuu wa dharura wa klabu ya Simba ulifanyika jana kwenye Bwalo la Maofisa wa Polisi, Oysterbay, Dar es Salaam, huku ukiibua timbwili baada ya baadhi ya wanachama kutoleana lugha chafu.
Mkutano huo ulihudhuriwa na wanachama 514, lakini sehemu kubwa ya viti ilionekana kuwa tupu tofauti na ilivyotarajiwa, huku ukihusisha ajenda tatu, ya kwanza ambayo ni kubwa ilihusu kujadili mwenendo wa mbaya wa Simba kwenye Ligi Kuu ya Vodacom.
Ajenda ya pili...
11 years ago
Habarileo08 Dec
Sakata la misamaha ya kodi laibuka upya
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeibua upya matatizo ya misamaha ya kodi bungeni na kubainisha wazi kuwa tatizo hilo linazidi kuwa kubwa siku hadi siku, ambapo kwa mwaka wa fedha 2011/2012 misamaha ya kodi iliyotolewa ilikuwa ni asilimia 13 sawa na bajeti ya mwaka huo wa fedha iliyokuwa Sh trilioni 13.5.
10 years ago
Bongo Movies05 Mar
Bifu la Wema na Kajala Laibuka Upya!
Bifu la kati ya waigizaji marafiki wa zamani Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Kajala Masanja ‘Kay’ inadaiwa kuwa limeibuka tena upya mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya Madam kuanika ubaya aliotendewa na Kajala aliyewahi kumlipia faini ya shilingi milioni 13 na kumuepusha na kifungo cha miaka 7 jela, Machi 25, 2013, kupitia kipindi chake cha In My Shoes kinachorushwa na kituo cha televisheni cha EATV.
Wafuasi na mashabiki wa Kajala hawakufurahishwa na maneno ya Wema ambayo walidai yalikuwa...
10 years ago
Mwananchi13 Jan
Sakata la jengo la ATCL kupigwa mnada laibuka tena