Bunge la Somalia lashambuliwa
Milipuko na risasi zimesikika huku majengo ya bunge la Somalia yakishambuliwa mjini Mogadishu wabunge wakiwa ndani kwa mkutano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Bunge la Afghanistan lashambuliwa
Ripoti zinasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa karibu na bunge la Afghanistan huko Kabul .
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FiztFdiPwCpKul45YTvXgOhDQ4lqNCsi3TDHQpZFyETvun54*IxndVPzstWL*ZX0s2P8kwAkbYznkz0C9L4ZODP664HBxSrB/7782.jpg?width=650)
SIMULIZI YA AL- SHABAB: WASHAMBULIA BUNGE LA SOMALIA
ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Mpenzi mfuatiliaji wangu, wiki iliyopita tuliona jinsi ambavyo mapambano kati ya Al-Shabaab na majeshi ya Serikali ya Somalia yakisaidiwa na yale ya kigeni yalivyokuwa yakipambana. Licha ya vipigo vikali kutoka kwa majeshi ya Afrika, wapiganaji hao walishambulia Kambi ya Wakimbizi ya Daadab iliyopo kwenye mpaka wa Somalia na Kenya ambayo inahesabiwa kuwa moja ya kambi kubwa zaidi ya wakimbizi duniani....
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Mlipuko Mkubwa karibu na Bunge Somalia
Mlipuko mkubwa umetokea na milio ya risasi imeripotiwa karibu na Bunge la Somalia.
11 years ago
BBCSwahili05 Jul
Bomu laua wanne nje ya Bunge Somalia
Bomu lililotegwa kwenye gari limelipuka na kuua watu wanne karibu na Bunge la Somalia.
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-BLZKbLmns3A/U7QmM7gcYtI/AAAAAAAABTI/NzhB_LNZrgI/s72-c/kalandinga.jpg)
Basi la mahabusu lashambuliwa Dar
Lamiminiwa risasi mfululizo, watatu wajeruhiwa Balozi wa Libya nchini ajiua kwa risasi ofisini
NA MWANDISHI WETU
GARI la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu likitokea Mahakama ya Mwanzo Kawe kwenda Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, limeshambuliwa kwa risasi na mtu asiyefahamika.
![](http://3.bp.blogspot.com/-BLZKbLmns3A/U7QmM7gcYtI/AAAAAAAABTI/NzhB_LNZrgI/s1600/kalandinga.jpg)
Wakati tukio hilo likitokea jana mchana maeneo ya Mikocheni na kusababisha askari Magereza wawili, akiwemo dereva na mahabusu kujeruhiwa,
aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat, alifariki dunia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632oGJ9Q2KWB1I6y-BSQ9WrAThNy9uF2OTwrrXGd--xFMa6a-O7hW62*TX5rbtmp5iUfS27FKrBUl*Ju82XJbwgoz/breakingnews.gif)
BASI LA MAGEREZA LASHAMBULIWA DAR
BASI la Jeshi la Magereza lililokuwa na mahabusu likitokea Mahakama ya Kawe jijini Dar es Salaam, limeshambuliwa na watu wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki. Inadaiwa kuwa watu hao walitaka kumdhuru mtu aliyekuwa kwenye gari lililokuwa mbele ya basi hilo. Walipoliona basi hilo wakadhani kuwa lazima kutakuwa na askari wenye silaha ndipo wakalishambulia. Katika shambulio hilo, dereva wa basi na askari mmoja wamejeruhiwa na...
10 years ago
BBCSwahili11 Jan
Gazeti jengine la Ujerumani lashambuliwa
Polisi nchini Ujerumani wanasema kumekuwa na shambulizi la kuchoma gazeti ambalo lilichapisha vibonzo vya Charlie Hebdo.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-28bervbIcl0/VLKmwByQuQI/AAAAAAADVSA/H5QfShPwwAw/s72-c/2010-04-14-demorgen-nav.jpg)
GAZETI JINGINE LA UJERUMANI LASHAMBULIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-28bervbIcl0/VLKmwByQuQI/AAAAAAADVSA/H5QfShPwwAw/s1600/2010-04-14-demorgen-nav.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/11/150111071704_hamburger_morgenpost_editorial_office_in_hamburg_northern_germany_640x360_epa_nocredit.jpg)
Polisi nchini Ujerumani wanasema kuwa kumekuwa na shambuli la kuchoma moto ofisi za gazeti ambalo lilichapisha vibonzo kutoka kwa gazeti la vibonzo la Charlie Hebdo.
Mawe na vitu vinavyowaka moto vilirushwa katika dirisha la ofisi za gazeti la Hambuger Morgenpost mapema leo Jumapili.
Vyumba viwili kwenye afisi hizo viliharibiwa lakini moto huo ulizimwa kwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania