Gazeti jengine la Ujerumani lashambuliwa
Polisi nchini Ujerumani wanasema kumekuwa na shambulizi la kuchoma gazeti ambalo lilichapisha vibonzo vya Charlie Hebdo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-28bervbIcl0/VLKmwByQuQI/AAAAAAADVSA/H5QfShPwwAw/s72-c/2010-04-14-demorgen-nav.jpg)
GAZETI JINGINE LA UJERUMANI LASHAMBULIWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-28bervbIcl0/VLKmwByQuQI/AAAAAAADVSA/H5QfShPwwAw/s1600/2010-04-14-demorgen-nav.jpg)
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/01/11/150111071704_hamburger_morgenpost_editorial_office_in_hamburg_northern_germany_640x360_epa_nocredit.jpg)
Polisi nchini Ujerumani wanasema kuwa kumekuwa na shambuli la kuchoma moto ofisi za gazeti ambalo lilichapisha vibonzo kutoka kwa gazeti la vibonzo la Charlie Hebdo.
Mawe na vitu vinavyowaka moto vilirushwa katika dirisha la ofisi za gazeti la Hambuger Morgenpost mapema leo Jumapili.
Vyumba viwili kwenye afisi hizo viliharibiwa lakini moto huo ulizimwa kwa...
10 years ago
GPLMWANDISHI WA UJERUMANI ALIFAGILIA GAZETI LA ‘UWAZI’
Meneja Mkuu wa Global Publishers, Abdalah Mrisho (kushoto), akiongea na mwandishi Hawa Bihoga wa Idhaa ya Kiswahili Ujerumani (DW) ofisini kwake Sinza-Bamaga jijini Dar es Salaam. Bihoga alifika hapo kulipongeza gazeti la Uwazi na mwandishi Haruni Sanchawa.
Mrisho akiagana na Bihoga. MWANDISHI  wa Shirika la Habari Idhaa ya Kiswahili Ujerumani (DW), Hawa Bihoga,  ametoa pongezi kubwa kwa kampuni ya Global...
11 years ago
BBCSwahili24 May
Bunge la Somalia lashambuliwa
Milipuko na risasi zimesikika huku majengo ya bunge la Somalia yakishambuliwa mjini Mogadishu wabunge wakiwa ndani kwa mkutano.
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Bunge la Afghanistan lashambuliwa
Ripoti zinasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa karibu na bunge la Afghanistan huko Kabul .
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-BLZKbLmns3A/U7QmM7gcYtI/AAAAAAAABTI/NzhB_LNZrgI/s72-c/kalandinga.jpg)
Basi la mahabusu lashambuliwa Dar
Lamiminiwa risasi mfululizo, watatu wajeruhiwa Balozi wa Libya nchini ajiua kwa risasi ofisini
NA MWANDISHI WETU
GARI la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu likitokea Mahakama ya Mwanzo Kawe kwenda Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, limeshambuliwa kwa risasi na mtu asiyefahamika.
![](http://3.bp.blogspot.com/-BLZKbLmns3A/U7QmM7gcYtI/AAAAAAAABTI/NzhB_LNZrgI/s1600/kalandinga.jpg)
Wakati tukio hilo likitokea jana mchana maeneo ya Mikocheni na kusababisha askari Magereza wawili, akiwemo dereva na mahabusu kujeruhiwa,
aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat, alifariki dunia...
10 years ago
BBCSwahili10 Dec
Soko la Nguo lashambuliwa Nigeria
Kwa mujibu wa maafisa wakuu wa mlipuko wa bomu hilo ulitokea eneo ambako mizigo inapakiwa, katika soko la nguo la Kantini Kwari mjini Kano.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FsV0PLw632oGJ9Q2KWB1I6y-BSQ9WrAThNy9uF2OTwrrXGd--xFMa6a-O7hW62*TX5rbtmp5iUfS27FKrBUl*Ju82XJbwgoz/breakingnews.gif)
BASI LA MAGEREZA LASHAMBULIWA DAR
BASI la Jeshi la Magereza lililokuwa na mahabusu likitokea Mahakama ya Kawe jijini Dar es Salaam, limeshambuliwa na watu wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki. Inadaiwa kuwa watu hao walitaka kumdhuru mtu aliyekuwa kwenye gari lililokuwa mbele ya basi hilo. Walipoliona basi hilo wakadhani kuwa lazima kutakuwa na askari wenye silaha ndipo wakalishambulia. Katika shambulio hilo, dereva wa basi na askari mmoja wamejeruhiwa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8pnqwPqNt2NMP3Ves-3iN8WKuY3pyuiPVpXJn58ao0b0xg88rGG3sG9Y5gc1pSOON6K*xgA3Kgp4*6Cn43qj5pYdNx37jrzu/mawio.jpg)
GAZETI LA MAWIO KIKAANGONI
Serikali imeagiza gazeti la Mawio kueleza sababu za kupotosha na kukejeli nia njema ya serikali kwa wananchi wake kuhusu Hati ya Muungano. Akizungumza jana, Mkurugenzi Idara ya Habari (MAELEZO), Assah Mwambene alisema gazeti hilo la wiki linatakiwa kujieleza ndani ya siku tatu. Alisema mbali na kujieleza, gazeti hilo limepewa siku saba hadi Aprili 23, mwaka huu, kukanusha taarifa hiyo. Kwa mujibu wa Mwambene, katika gazeti hilo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania