Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Basi la mahabusu lashambuliwa Dar



Lamiminiwa risasi mfululizo, watatu wajeruhiwa Balozi wa Libya nchini ajiua kwa risasi ofisini
NA MWANDISHI WETU
GARI la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu likitokea Mahakama ya Mwanzo Kawe kwenda Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, limeshambuliwa kwa risasi na mtu asiyefahamika.

Wakati tukio hilo likitokea jana mchana maeneo ya Mikocheni na kusababisha askari Magereza wawili, akiwemo dereva na mahabusu kujeruhiwa,
aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat, alifariki dunia...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

BASI LA MAGEREZA LASHAMBULIWA DAR

BASI la Jeshi la Magereza lililokuwa na mahabusu likitokea Mahakama ya Kawe jijini Dar es Salaam, limeshambuliwa na watu wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki. Inadaiwa kuwa watu hao walitaka kumdhuru mtu aliyekuwa kwenye gari lililokuwa mbele ya basi hilo. Walipoliona basi hilo wakadhani kuwa lazima kutakuwa na askari wenye silaha ndipo wakalishambulia. Katika shambulio hilo, dereva wa basi na askari mmoja wamejeruhiwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Majambazi washambulia basi la mahabusu Dar

Majambazi wanne jana walilishambulia kwa risasi basi la Jeshi la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu baada ya kupora fedha kwenye gari jingine lililokuwa kwenye foleni.

 

11 years ago

Mwananchi

Walioshambulia basi la mahabusu watafutwa

>Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova amesema wanawatafuta watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliolishambulia basi la mahabusu juzi na kujeruhi askari magereza.

 

5 years ago

Michuzi

JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO

Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiMAHABUSU wapya kupokelewa Gerezani mara baada ya kufanyiwa vipimo vya afya zao hii ni kufuatia kwa kuripotiwa kwa uwepo wa ugonjwa wa Corona (Covid-19) nchini.
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...

 

10 years ago

Mtanzania

Panya Road wafurika mahabusu Dar

Kamishna Suleiman Kova

Kamanda wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova

Asifiwe George na Mwajabu Kusupa (TEC), Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limeendelea na kamatakamata ya vijana wanaotuhumiwa kujihusisha na vitendo vya uhalifu wa kutumia silaha na uporaji, walio maarufu kwa jina la Panya Road.
Watuhumiwa 329 zaidi wametiwa mbaroni jana katika operesheni iliyofanyika katika mikoa miwili ya kipolisi, Temeke na Ilala na kufanya idadi yao kufikia 953.
Operesheni hiyo...

 

10 years ago

GPL

MAHABUSU AUAWA AKIJARIBU KUTOROKA MAHAKAMANI KISUTU‏, DAR

Muonekano wa mahabusu aliyekuwa anatuhumiwa kubeba madawa ya kulevya, Abdul Koroma raia wa Sierra Leone baada ya kupigwa risasi. Koroma akiwa  kwenye machela tayari kwa kupelekwa kuifadhiwa…

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Somalia lashambuliwa

Milipuko na risasi zimesikika huku majengo ya bunge la Somalia yakishambuliwa mjini Mogadishu wabunge wakiwa ndani kwa mkutano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la Afghanistan lashambuliwa

Ripoti zinasema kuwa kumetokea mlipuko mkubwa karibu na bunge la Afghanistan huko Kabul .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani