Walioshambulia basi la mahabusu watafutwa
>Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova amesema wanawatafuta watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi waliolishambulia basi la mahabusu juzi na kujeruhi askari magereza.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-BLZKbLmns3A/U7QmM7gcYtI/AAAAAAAABTI/NzhB_LNZrgI/s72-c/kalandinga.jpg)
Basi la mahabusu lashambuliwa Dar
Lamiminiwa risasi mfululizo, watatu wajeruhiwa Balozi wa Libya nchini ajiua kwa risasi ofisini
NA MWANDISHI WETU
GARI la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu likitokea Mahakama ya Mwanzo Kawe kwenda Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, limeshambuliwa kwa risasi na mtu asiyefahamika.
![](http://3.bp.blogspot.com/-BLZKbLmns3A/U7QmM7gcYtI/AAAAAAAABTI/NzhB_LNZrgI/s1600/kalandinga.jpg)
Wakati tukio hilo likitokea jana mchana maeneo ya Mikocheni na kusababisha askari Magereza wawili, akiwemo dereva na mahabusu kujeruhiwa,
aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat, alifariki dunia...
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Majambazi washambulia basi la mahabusu Dar
Majambazi wanne jana walilishambulia kwa risasi basi la Jeshi la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu baada ya kupora fedha kwenye gari jingine lililokuwa kwenye foleni.
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Abiria 10 wafa, wengine watafutwa
>Watu 10 wamekufa maji na wengine wanaendelea kutafutwa baada ya boti mbili kupigwa dhoruba na mojawapo kuzama katika maeneo tofauti ya Bahari ya Hindi.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M4fbdxsgeow/XnMgs0ZXNiI/AAAAAAALkZI/51Z7-xaeHlgsfq7QU3Iu8AAEDa1Y6g3AQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-19%2Bat%2B10.22.02%2BAM.jpeg)
JESHI LA MAGEREZA LASITISHA KUTEMBELEWA KWA WAFUNGWA NA MAHABUSU GEREZANI, MAHABUSU WAPYA KUPOKELEWA KWA KUHAKIKI AFYA ZAO
Na Avila Kakingo, Globu ya JamiiMAHABUSU wapya kupokelewa Gerezani mara baada ya kufanyiwa vipimo vya afya zao hii ni kufuatia kwa kuripotiwa kwa uwepo wa ugonjwa wa Corona (Covid-19) nchini.
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
Akizungumza na MICHUZI BLOG, Msemaji wa jeshi la magereza SSP. Amina Kavirondo amesema kuwa baada ya kupimwa mahabusu wapya na kujiridhisha kuwa wako salama kwa maana hata polisi nao watakuwa wamechukuwa hatua kwa mahabusu hao.
"Na sisi watakapofika kwenye himaya ya kwetu tutachukua hatua ya kuhakikisha...
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Wataliban walioshambulia Kabul wauawa
Wapiganaji wanne wa kundi la Taliban walioshambulia mgahawa ulio karibu na ubalozi wa Uhispania mjini Kabul wameuawa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzBaFCuu*E43XQ02kxLsxGHU5F7*N9ZhpB4ceT5H1-ungSWJMgHx1Yhski*tuEJGhj13p*rS8EepKIl0Xd9LYBTd/1.jpg)
POLISI WA TEXAS WAUA WAWILI WALIOSHAMBULIA HAFLA YA UCHORAJI VIBONZO VYA MTUME
Ofisa wa polisi akidumisha ulinzi eneo lilipotokea shambulio. Mwanausalama akiwatuliza watu waliohudhuria hafla hiyo baada ya shambulio. Rais wa kundi lililoandaa hafla hiyo la American Freedom Defense Initiative (AFDI), Pamela Geller akiongea na wanahabari.…
10 years ago
VijimamboDEREVA WA BASI LA SHABIBY AWEKWA KITI MOTO NA ABIRIA BAADA YA BASI HILO KUHARIBIKA NA YEYE KUWAKIMBIA ABIRIA
Leo hii asubuhi nikitokea Singida kwenda Dar kwa basi la Shabiby Line, lenye nambari za usajili T607 CVL iliondoka stendi ya Misuna Singida mnaomo saa 12.48(moja kasoro 12) za asubuhi. Safari ilikuwa nzuri mpaka gari ilipofika nje kidogo ya Manyoni kuelekea Dodoma mnamo saa 2.30 kwa muda wa sekunde chache mpaka dkk moja hivi ulisikika mlio usio wa kawaida ingawa dereva wa gari hilo aliendelea...
10 years ago
Uhuru Newspaper04 Sep
MAUAJI YA MAHABUSU
Mazito yaibuka tena
MOI yazuia jalada la marehemu, yataka malipo Familia, Polisi waendelea wavutana NA MWANDISHI WETU
MAITI ya mtuhumiwa aliyedaiwa kupigwa na kusababisha kifo chake akiwa mahabusu, imeshindwa kufanyiwa uchunguzi ili kutoa fursa kwa ndugu kuendelea na taratibu za maziko.
Liberatus Damian, alifariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili baada ya kufikishwa kwa matibaabu akiwa hoi kwa kile kinachodaiwa kupigwa akiwa mahabusu katika Kituo cha Polisi Stakishari, Dar es...
11 years ago
Tanzania Daima07 Feb
Mahabusu amuua Polisi
ASKARI Polisi F 5264, PC Sabato (37), ameuawa kwa kupigwa jiwe kichwani na mtuhumiwa, Njoke ole Kilimbi (34). Askari huyo alikumbwa na mkasa huo juzi mchana kweupe wakati akimrejesha mtuhumiwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania