Rais Nyusi wa Msumbiji apokelewa nchini kwa nderemo na vifijo
Msanii wa kikundi cha ngoma ya Mganda akitumbuiza wakati wa mapokezi ya Rais wa Msumbiji Mhe Filipe Nyusi katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere.
Ngoma ya mganda
Sindimba
Kinamama wa kikundi cha Mount Usambara hawako nyuma
Rais Kikwete akisogea sehemu ya kumpokea mgeni
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernad Membe akisalimiana na balozi wa Tanzania nchini Msumbiji Mhe Shamim Nyanduga. Katikati ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog16 May
Rais wa Msumbiji Mhe. Filipe Nyusi kutua nchini Jumapili Mei 17 kwa ziara ya siku 3
Rais Filipe Nyusi wa Msumbiji
Rais wa Msumbiji Mhe.Filipe Jacinto Nyusi anatarajia kuwasili nchini Tanzania Mei 17 mwaka huu kwa ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo pamoja na mambo mengine anatarajia kulihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linaloendelea na vikao vyake mjini Dodoma.
Akitoa taarifa ya ziara hiyo leo jijini Dar es salaam Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Mecki Sadiki amesema kuwa Rais Filipe Nyusi atawasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius...
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Rais Kikwete awasili nchini Msumbiji kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais Nyusi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VuYK-gRn5-0/XuiVEpTG94I/AAAAAAALt_Y/ZRBXfqvPE907T1pVUxxAM8b_r-RiYjzVwCLcBGAsYHQ/s72-c/nxtmi.jpg)
SHANGWE, NDEREMO,VIFIJO VYATAWALA RAIS MAGUFULI AKIVUNJA BUNGENI MJINI DODOMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-VuYK-gRn5-0/XuiVEpTG94I/AAAAAAALt_Y/ZRBXfqvPE907T1pVUxxAM8b_r-RiYjzVwCLcBGAsYHQ/s640/nxtmi.jpg)
Wakati Rais Magufuli akiwa katika Bunge hilo ambalo limehimitisha makukumu yake na kutoa nafasi sasa ya kuanza rasmi kwa mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020,pamoja na mambo mengine ametumia nafasi hiyo...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oxlHYVna4aY/VeoD5iOJx9I/AAAAAAAH2a0/QfCUitAmg3o/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Rais Kikwete apokea Ujumbe kutoka kwa Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
![](http://4.bp.blogspot.com/-oxlHYVna4aY/VeoD5iOJx9I/AAAAAAAH2a0/QfCUitAmg3o/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-yk3Ma9T_hQY/VeoD5m9XFsI/AAAAAAAH2a4/Fr4HZROwjQU/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-2CKLwYj48ow/VVdLaaKn41I/AAAAAAAAdgM/UjA_scdgeJ0/s72-c/Rais%2BNyusi.jpg)
Rais wa Msumbiji, Mhe. Filipe Jacinto Nyusi kufanya ziara ya siku tatu nchini kuanzia kesho
![](http://1.bp.blogspot.com/-2CKLwYj48ow/VVdLaaKn41I/AAAAAAAAdgM/UjA_scdgeJ0/s640/Rais%2BNyusi.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 May
Rais Nyusi awa Rais wa kwanza wa Msumbiji kulihutubia Bunge la Tanzania
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cm4yBkdOv2E/VVtRyQ_ItLI/AAAAAAAAb8Q/QQsCnqh2H5A/s320/7.jpg)
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akiingia ndani ya ukumbi wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiongozana na wenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Spika wa Bunge la Muungano wa Tanzania Mhe.Anne Makinda.
Rais wa Msumbiji Filipe Nyusi akilihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mjini Dodoma.
Na Immaculate Makilika na Lydia Churi – MAELEZO, DODOMA.
Rais wa Jamhuri ya Msumbiji Mheshimiwa Felipe Nyusi amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-pQCR1NJUNCE/VVkWnuDGkyI/AAAAAAAHX4E/33HLt_B9ha4/s640/n1.jpg)
MAPOKEZI YA RAIS NYUSI WA MSUMBIJI YALIVYOFANA
9 years ago
VijimamboMSHINDI WA TMT 2015 #MPAKAKIELEWEKE APOKELEWA KWA NDEREMO MJINI MOSHI
9 years ago
GPLMSHINDI WA TMT 2015 MPAKAKIELEWEKE APOKELEWA KWA NDEREMO MJINI MOSHI