Ndumbaro akwea pipa kwenda Fifa kumshitaki Wambura
![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6ptvZueye0kPfdoKT2fg1DItgjkG3Wn*Eou*NZSgy6-QXkxKPrK9WVvNw5unIu5NWME4YPpt*ZNgK9sDX0cRp6G/11.gif?width=650)
Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, Damas Ndumbaro. Wilbert Molandi na Sweetbert Lukonge MWENYEKITI wa Kamati ya Uchaguzi ya Klabu ya Simba, Damas Ndumbaro, jana saa 10:45 jioni alipanda ndege na kwenda Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) kwa ajili ya kumshtaki Michael Wambura ambaye aliondolewa katika uchaguzi mkuu wa klabu hiyo.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM05 Aug
OMMY DIMPOZ AKWEA PIPA KWENDA MAREKANI KUWABURUDISHA WATANZANIA WAISHIO HUKO
STAA wa ngoma ya Ndagushima,Omar Nyembo, Mr. Poz Kwa Poz,leo anaelekea nchini Marekani kwa ajili ya Ndagushima Night, shoo ambayo imeandaliwa maalum kwa ajili ya watanzania watakaokuwa wamemaliza mkutano na rais Jakaya Kikwete jijini Houston Marekani.
10 years ago
CloudsFM17 Dec
Diamond akwea pipa aenda Uganda kwenye ''White Paty'' ya Zari
Staa wa Bongo Fleva,Diamond Platinumz amekwea pipa leo kuelekea nchini Uganda kwenye ''''White Paty'' inayoandaliwa na anayedaiwa kuwa ni mpenzi wake wa sasa aishiye nchini humo. Zari.Kupitia mtandao wa Instagram Diamond aliandika hivi.....KAMPALA!!! UGANDA!!! your boy is on his way... #Zari_AllWhite_CirocParty.
Zari
9 years ago
Global Publishers05 Jan
Tuzo za Mchezaji Bora Afrika… Samatta Kukwea Pipa Kesho Kwenda Nigeria
Mbwana Samatta
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Mwesigwa Selestine kesho Jumatano anatarajiwa kuongozana na mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Tanzania na klabu ya TP Mazembe ya Congo DR, Mbwana Samatta kuelekea nchini Nigeria kwenye sherehe za utoaji wa tuzo kwa wachezaji bora barania Afrika.
Mbwana Samatta
Mwesigwa anatarajiwa kuondoka na Samatta kuelekea Nigeria katika mji wa Abuja ambapo sherehe za utoaji tuzo hizo zitafayika Alhamisi Januari 7, ambapo siku ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eiC0hTlxr2J2g04dWrSM7ktRW6BUcR6-aJkvIz0KeH93tvhfChULH5s53EAj3wqx6XL0M*K9MCAkbGNsoTo-V*bOipceiicr/BINGWA1.jpg?width=650)
WASHINDI WA AIRTEL 'MIMI NI BINGWA' WAKWEA PIPA KWENDA OLD TRAFFORD
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Ruksa Yanga SC kwenda Fifa — TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limebariki safari ya klabu ya Yanga kwa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), kupeleka suala la mshambuliaji Emmanuel Okwi, ingawa wao kama wasimamizi wa soka...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39f9vS2Uak*gHrqo*cntbOURRmIQyXhFGtsgp-6xo8dCR3Rl7b8MuUXXS26VvyxiN9YpQ24b9sheMkrfrRTWcs6h/mpoki.jpg?width=650)
MASTAA KUMSHITAKI MKOPI
9 years ago
Mzalendo Zanzibar19 Sep
UKAWA kumshitaki Magufuli
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli Inakusudia kuchukua hatua kwa madai mgombea huyo wa urais wa CCM anaiga na kutumia nembo za Chadema kwenye mabango na hotuba zake za kampeni. Na Waandishi […]
The post UKAWA kumshitaki Magufuli appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Agoma kumshitaki mume aliyemjeruhi
MKAZI wa Kijiji cha Kapiliula, wilayani Urambo, Magdalena Nsimba, aliyenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga na mumewe kwa madai ya kukataa kumpa sh 1,000 ya kununulia pombe, amekataa mumewe huyo...