Agoma kumshitaki mume aliyemjeruhi
MKAZI wa Kijiji cha Kapiliula, wilayani Urambo, Magdalena Nsimba, aliyenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga na mumewe kwa madai ya kukataa kumpa sh 1,000 ya kununulia pombe, amekataa mumewe huyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Mwanasheria aliyemjeruhi ‘hausigeli’ asota rumande
MWANASHERIA Yastinter Rwechungura (44), mkazi wa Boko-Njiabanda, jijini Dar es Salaam, anayekabiliwa na kesi ya kumfanyia ukatili msichana wake wa kazi, Merina Mathayo, amerudishwa rumande bada ya kushindwa kutimiza masharti...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Askari aliyemjeruhi raia kwa risasi akamatwa
9 years ago
Mzalendo Zanzibar19 Sep
UKAWA kumshitaki Magufuli
Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli Inakusudia kuchukua hatua kwa madai mgombea huyo wa urais wa CCM anaiga na kutumia nembo za Chadema kwenye mabango na hotuba zake za kampeni. Na Waandishi […]
The post UKAWA kumshitaki Magufuli appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OsG-NixX39f9vS2Uak*gHrqo*cntbOURRmIQyXhFGtsgp-6xo8dCR3Rl7b8MuUXXS26VvyxiN9YpQ24b9sheMkrfrRTWcs6h/mpoki.jpg?width=650)
MASTAA KUMSHITAKI MKOPI
10 years ago
BBCSwahili03 Oct
Liberia kumshitaki mgonjwa wa Ebola
10 years ago
StarTV16 Dec
Ocampo: Nilikuwa sahihi kumshitaki Kenyatta.
Kiongozi wa zamani wa mashitaka katika mahakama ya jinai ya ICC, ameteta uamuzi wake wa kumshitaki Rais Uhuru Kenyatta licha ya kesi hiyo kutupiliwa mbali.
Bwana Luis Moreno Ocampo anasema kua mashitaka hayo dhidi ya Uhuru yalizuia ghasia kutokea tena katika uchaguzi wa mwaka 2013.
Kenyatta alishinda uchaguzi huo baada ya kugombea kwa tiketi ya chama cha TNA, huku akiituhumu mahakama hiyo kwa kuingilia maswala ya ndani ya Kenya.
Alishtakiwa kwa kosa la kuchochea ghasia za baada ya uchaguzi...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Mjane Rorya atimuliwa kwa kumshitaki shemejie
MJANE Pili Samweli (24) mkazi wa Kijiji cha Omuga, Wilaya ya Rorya, Mkoa wa Mara, ametimuliwa nyumbani kwake na ndugu wa mume kutokana na hatua ya kumfikisha polisi mmoja wa...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I0QXN3sy2h4/Vd94fb-wR5I/AAAAAAAH0h4/QrnVj6PCSzM/s72-c/law.jpg)
MAKALA YA SHERIA: KUMSHITAKI ASKARI ALIYEKUBAMBIKIZA KESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-I0QXN3sy2h4/Vd94fb-wR5I/AAAAAAAH0h4/QrnVj6PCSzM/s400/law.jpg)
Kumbambikiza mtu kesi ni kosa. Si tu ni kosa bali pia ni kinyume kabisa cha haki za binadamu na ustaarab wa dunia. Inawezekanaje mtu akashtakiwa kwa kosa ambalo si tu hakulitenda bali pia halijui kabisa. Ni matendo yanayofanywa na watu makatili na mabazazi. Niseme tu mapema kuwa kosa hili haliwahusu tu askari isipokuwa kila mtu ambaye anaweza kumshtaki mwingine kwa kosa ambalo anajua kabisa halikutendeka au...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6ptvZueye0kPfdoKT2fg1DItgjkG3Wn*Eou*NZSgy6-QXkxKPrK9WVvNw5unIu5NWME4YPpt*ZNgK9sDX0cRp6G/11.gif?width=650)
Ndumbaro akwea pipa kwenda Fifa kumshitaki Wambura