Mwanasheria aliyemjeruhi ‘hausigeli’ asota rumande
MWANASHERIA Yastinter Rwechungura (44), mkazi wa Boko-Njiabanda, jijini Dar es Salaam, anayekabiliwa na kesi ya kumfanyia ukatili msichana wake wa kazi, Merina Mathayo, amerudishwa rumande bada ya kushindwa kutimiza masharti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi27 Jun
Aliyejeruhi kwa meno asota rumande
11 years ago
GPLALIYEMPIGA HAUSIGELI ARUDI TENA RUMANDE
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s72-c/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS DK. SHEIN AMFUTA KAZI MWANASHERIA MKUU SMZ NA KUMTEUA MWANASHERIA MPYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQ9L9imJgsw/VDRA32RgSnI/AAAAAAABbHU/dXh96zofOe8/s640/.......................................................................OthmanMasoudOthman.jpg)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein amemteua Mh. Said Hassan Said kuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa leo na Katibu wa Baraza la Mapinduzi ambaye pia ni Katibu Mkuu Kiongozi Dkt.Abdulhamid Yahya Mzee, Dkt Shein amefanya uteuzi huo kwa mujibu wa uwezo aliopewa chini ya kifungu 55(1) cha Katiba ya Zanzibar ya mwaka 1984.
Mheshimiwa Said Hassan anachukua nafasi ya aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Mh. Othman Masoud...
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Agoma kumshitaki mume aliyemjeruhi
MKAZI wa Kijiji cha Kapiliula, wilayani Urambo, Magdalena Nsimba, aliyenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga na mumewe kwa madai ya kukataa kumpa sh 1,000 ya kununulia pombe, amekataa mumewe huyo...
11 years ago
Mwananchi17 Feb
Askari aliyemjeruhi raia kwa risasi akamatwa
11 years ago
Habarileo05 Aug
Waziri wa zamani asota polisi siku 3
WAZIRI wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mansour Yussuf Himid, anaendelea kusota katika kituo cha Polisi kwa muda wa siku tatu tangu alipokamatwa mwishoni mwa wiki.
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Chid Benz akosa dhamana, asota Segerea
MKALI wa Muziki wa Hip Hop nchini, Rashid Makwilo ‘Chid Benz’ jana ameswekwa rumande Segerea, kwa kushindwa masharti ya dhamana, baada ya kupandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akSNJdPU7qsR3ZuuNEa18Y63X0g88iKCpYXwEcLWRLCuasRJRTAEdTU7aTMLCxK1Eqo*Bng0VQ4V6NrCmpG2uhxG/housegeli.jpg)
HAUSIGELI ALIVYOMUUA...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxCNhCb0vXUiTY31yeVSavssk6mMbn9gKq0Ovejs4lWSr7TddeIX4WlwuivVRXbLyA-bjbj0lVDXVsN7ZMKPsQ9LeWzq3WB0/hausgel.jpg)
HAUSIGELI AJINYONGA!