Waziri wa zamani asota polisi siku 3
WAZIRI wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mansour Yussuf Himid, anaendelea kusota katika kituo cha Polisi kwa muda wa siku tatu tangu alipokamatwa mwishoni mwa wiki.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''
Stakabadhi zilizowasilishwa mahakamani na polisi zanaelezea jinsi Thomas Thabane alivyohusika na mauaji hayo.
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Waziri aipa polisi siku moja kujieleza
Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga ametoa siku moja kwa Jeshi la Polisi kueleza ni kwa nini askari hawalindi Bandari ya Dar es Salaam badala yake kazi hiyo inafanywa na kampuni binafsi za ulinzi.
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Waziri wa zamani wa Lebanon auawa
Aliyekuwa waziri wa fedha wa Lebanon Mohamad Chatah auawa kwa Bomu
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mfungwa wa zamani amzomea 'waziri'
Mfungwa wa zamani wa kambi ya Guantanamo Bay David Hicks amemzomea waziri wa Australia akiituhumu serikali kuwa na habari kuhusu matesi aliyopitia mikononi mwa mwa wanajeshi wa Marekani.
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Waziri wa zamani Malawi akamatwa
Kwa kuhusika na kashfa ya wizi wa mamilioni ya dola pesa za serikali ambayo imeathiri mishahara ya wafanyakazi wa umma.
10 years ago
BBCSwahili25 May
Israeli:waziri wa zamani Olmnert ahukumiwa
Mahakama mjini Jerusalem imemhukumu waziri wa zamani wa Israeli Ehud Olmnert miezi 8 jela kutokana na mashtaka ya ufisadi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N6ciIh-4H3GOuOKKlbWxtX0UJnj7G5-J1XgDRIhoiPYNo9tLioVGP4Answbn13OhOKQ4cwu3XIXrpcrC2o1rrSa/LEANON.jpg)
MLIPUKO WAUA 7 AKIWEMO WAZIRI WA ZAMANI WA LEBANON
Mlipuko wa bomu kwenye gari umeua watu saba akiwemo Waziri wa Fedha wa zamani wa Lebanon, Mohamad Chatah na kujeruhi wengine 70 jijini Beirut, Lebanon!
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Waziri wa zamani Rwanda kukaa jela miaka 47
Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) imeamua waziri mmoja wa zamani wa Rwanda atumikie kifungo cha miaka 47 jela kwa mchango wake mauaji ya kimbari.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdZ8N9Ge5IhRMJOejq4JL6jzzdDyFVNvbgcPk8t0hP7cyxktwF1Xg7GQ5v2cKUKv0pKjE7zPBBju5YrzY3CVw7ZP/AlbertReynolds.jpg)
WAZIRI MKUU WA ZAMANI IRELAND AFARIKI DUNIA
Albert Reynolds enzi za uhai wake. ALIYEWAHI kuwa Waziri Mkuu wa Ireland kwa miaka mitatu, Albert Reynolds amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81. Kiongozi huyo aliyewahi kuongoza Chama cha Fianna Fáil na kushinda Tuzo ya Amani ya Nobel pia aliwahi kuwa Waziri wa Fedha (1988–91), Waziri wa Viwanda na Biashara (1987–88), Waziri wa Viwanda na Nishati (1982), Waziri wa Usafirishaji (1980–81) na Waziri wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania