Israeli:waziri wa zamani Olmnert ahukumiwa
Mahakama mjini Jerusalem imemhukumu waziri wa zamani wa Israeli Ehud Olmnert miezi 8 jela kutokana na mashtaka ya ufisadi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers29 Dec
Waziri mkuu wa zamani wa Israel ahukumiwa kwenda jela
Ehud Olmert
Jerusalem, Israel
Mahakama Kuu ya Israel, imemhukumu aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo kuanzia mwaka 2006-2009, Ehud Olmert kifungo cha miezi 18 jela baada ya kukutwa na hatia kwenye makosa ya kula rushwa yaliyokuwa yanamkabili.
Awali, Mei, 2014, Olmert alihukumiwa kifungo cha miaka 6 jela kufuatia kukutwa na hatia katika makosa ya kupokea rushwa katika kipindi cha 1993 hadi 2003 alipokuwa Meya wa Jiji la Jerusalem. Baada ya hukumu ya awali, Olmert alikata rufaa na baada ya...
5 years ago
BBCSwahili20 May
Aliyemfuatilia mpenzi wake wa zamani mtandaoni ahukumiwa
5 years ago
BBCSwahili12 Jun
Thomas Thabane: Waziri Mkuu wa zamani wa Lesotho 'alilipa majambazi kumuua mke wake wa zamani''
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XkRrFz4ymKmKWxa8Bn51Cz1pHsmDMibOBCC6RHprDBE-2JtCpDc7lcmOtkYwntFK3cYWOc4qyTPDqCR-k8-QaJarmfOSI8cb/BobHewitt.jpg?width=650)
STAA WA ZAMANI WA TENNIS, BOB HEWITT AHUKUMIWA MIAKA 6 KWA UBAKAJI
10 years ago
BBCSwahili11 Dec
Mfungwa wa zamani amzomea 'waziri'
11 years ago
BBCSwahili27 Jan
Waziri wa zamani Malawi akamatwa
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Waziri wa zamani wa Lebanon auawa
11 years ago
Habarileo05 Aug
Waziri wa zamani asota polisi siku 3
WAZIRI wa zamani wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mansour Yussuf Himid, anaendelea kusota katika kituo cha Polisi kwa muda wa siku tatu tangu alipokamatwa mwishoni mwa wiki.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Waziri wa zamani Rwanda kukaa jela miaka 47