Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ocampo: Nilikuwa sahihi kumshitaki Kenyatta.

Kiongozi wa zamani wa mashitaka katika mahakama ya jinai ya ICC, ameteta uamuzi wake wa kumshitaki Rais Uhuru Kenyatta licha ya kesi hiyo kutupiliwa mbali.

Bwana Luis Moreno Ocampo anasema kua mashitaka hayo dhidi ya Uhuru yalizuia ghasia kutokea tena katika uchaguzi wa mwaka 2013.

Kenyatta alishinda uchaguzi huo baada ya kugombea kwa tiketi ya chama cha TNA, huku akiituhumu mahakama hiyo kwa kuingilia maswala ya ndani ya Kenya.

Alishtakiwa kwa kosa la kuchochea ghasia za baada ya uchaguzi...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Ocampo defends ICC Kenyatta charges

The ex-chief prosecutor of the International Criminal Court (ICC) defends his decision to charge Kenya's president, despite the case collapsing.

 

11 years ago

TheCitizen

Ruto accuses Ocampo of vindicating him

Deputy President William Ruto on Saturday aired confidence that the cases facing him and President Uhuru Kenyatta at the International Criminal Court (ICC) will collapse.

 

10 years ago

BBCSwahili

''Niliokoa Kenya'' asema Moreno Ocampo

Kiongozi wa zamani wa mashitaka katika mahakama ya jinai ya ICC, ameteta umauzi wake wa kumshitaki Rais Uhuru Kenyatta licha ya kesi hiyo kutupiliwa mbali.

 

9 years ago

GPL

JK AKUTANA NA UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA MZEE JOMO KENYATTA‏

   Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...

 

10 years ago

TheCitizen

Uhuru’s ICC case prevented violence in 2013: Ocampo

Luis Moreno Ocampo has claimed the charges against President Uhuru Kenyatta prevented violence during the last General Election.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

UKAWA kumshitaki Magufuli

Mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli Inakusudia kuchukua hatua kwa madai mgombea huyo wa urais wa CCM anaiga na kutumia nembo za Chadema kwenye mabango na hotuba zake za kampeni. Na Waandishi […]

The post UKAWA kumshitaki Magufuli appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

GPL

MASTAA KUMSHITAKI MKOPI

Stori: Mwandishi Wetu KIMENUKA! Komediani aliyebahatika kuwa maarufu Bongo, Sylvery Mjuni ‘Mpoki’ yuko njiani kupandishwa kizimbani kufuatia mastaa waliodai aliwadhalilisha usiku wa Tuzo za Kili kucharuka na kwenda kwa mwanasheria wao, Ijumaa Wikienda lina ishu nzima. Aisha Mashauzi. Kwa mujibu wa chanzo makini, mastaa wanaodaiwa kutinga kwa mwanasheria na kuandikisha maelezo ni hawa wafuatao: Mkurugenzi wa Aset...

 

10 years ago

BBCSwahili

Liberia kumshitaki mgonjwa wa Ebola

Maafisa wa utwaala nchini Liberia, wanasema kuwa watamshitaki mwanamume aliyepatikana na ugonjwa wa Ebola nchini Marekani wakimtuhumu kuwa alitoa taarifa za uongo

 

11 years ago

Tanzania Daima

Agoma kumshitaki mume aliyemjeruhi

MKAZI wa Kijiji cha Kapiliula, wilayani Urambo, Magdalena Nsimba,  aliyenusurika kifo baada ya kucharangwa mapanga na mumewe kwa madai ya kukataa kumpa sh 1,000 ya kununulia pombe, amekataa mumewe huyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani