Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Exclusive: Ommy Dimpoz aliwahi kulala jela Marekani, hii ni sababu (Video)

12301302_781657848613350_1077518386_n

Ommy Dimpoz amewahi kun*ea ndoo za gereza la Marekani.

Ni lini na kwasababu gani? Dimpoz amefunguka kwenye exclusive interview na Bongo5.

“Sikuwahi katika maisha yangu kufikiria kama ipo siku nitalala jela,” anasema. “Nililala jela kabisa na kubadilisha nguo kabisa nikavaa zile za orange, yaani kama Prison Break unavyoiona ile movie,” ameeleza.

Ommy Dimpoz amesema yote hayo yalitokea miezi kadhaa iliyopita alipokuwa ameenda Marekani kutumbuiza.

“Kosa lilikuwa kwamba nilikuwa naenda kwenye...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz atoa sababu za wasanii wa Tanzania kutumia models wa nje kwenye video zao

Ommy na model wa ndagushima

Ommy Dimpoz ni kati ya wasanii wa Bongo ambao wameshoot video zao kadhaa nje ya Tanzania kwa kutumia waongozaji pamoja na video models wa nje.

Ommy na model wa ndagushima
Ommy Dimpoz na model wa ‘Ndagushima’ Sofia Skvortsova

Wengi wanaamini upo uwezekano wa wasanii kuamua kusafiri na models kutoka nyumbani kama ambavyo husafiri na dancers wao kwenda kushoot video nje, lakini Ommy Dimpoz ana sababu za kwanini hushindwa kufanya hivyo.

“Mara nyingi models wa nje wako proffesional wanaweza kucheza character zote ambazo...

 

9 years ago

Bongo5

Ommy Dimpoz ashoot video mbili Marekani na Afrika Kusini

Baada ya ushindi wa tuzo ya Afrimma 2015, Ommy Dimpoz ali-tease nyimbo mbili tofauti Instagram akiashiria kuwa anakaribia kupakua wimbo mpya. Katika post hizo mr PKP aliandika; “Vipi? Mko Tayari Baada ya Uchaguzi Tuachie MABODY?”, na nyingine “I can’t wait @nahreel on the beat”. Lakini kuna uwezekano kionjo ulichokisikia kisiwe ni cha wimbo utakaotoka kwasababu […]

 

10 years ago

Bongo5

Picha: Ommy Dimpoz kuachia video ya ‘Tupogo Remix’ Ijumaa hii (Dec. 28)

Ommy Dimpoz anatarajiwa kuachia video ya hit single yake ya mwaka jana ‘Tupogo’, lakini hii ni Remix ambayo imepigwa katika mtindo mwingine. Jokate ndiye ‘mpenzi’ wa Ommy Dimpoz kwenye video hiyo iliyoongozwa na Adam Juma. “Umeshawahi kuona Mahaba ya Mswahili kwenye Treni? Subiri kesho ujionee kwenye – TUPOGO REMIX out tomorrow”- Ommy Dimpoz

 

9 years ago

MillardAyo

Mabibi na Mabwana Ommy Dimpoz katuletea hii video mpya ‘Achia Body’

Ni time ya kuitazama hii video ya single mpya ya Ommy Dimpoz iitwayo  Achia Body. Hii ndio video ya single mpya ya Ommy Dimpoz baada ya kushine na video yake ya Wanjera. Enjoy hapa mtu wangu video yenyewe. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma […]

The post Mabibi na Mabwana Ommy Dimpoz katuletea hii video mpya ‘Achia Body’ appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Ommy Dimpoz amuelezea Zerthun, girlfriend wake Mmarekani/Methiopia

12276956_516514571843839_1879082365_n

January 4 ilikuwa ni birthday ya Zerthun, girlfriend mrembo wa Ommy Dimpoz.

“You are the most amazing, wonderful, beautiful, sweet, caring, loving, sexy, creative, dazzling woman I have ever had in my life,” Ommy aliandika kwenye Instagram kumpongeza mrembo huyo.

“You mean more to me than life itself. I can’t wait to experience the rest of our lives together, but I don’t want to rush a single second of the present,” aliongeza.

“I dream about you every second that you are away. I get lost...

 

10 years ago

Vijimambo

Ommy Dimpoz atoa sababu za kwanini hajawahi kumtambulisha hadharani mpenzi wake


'Sijapenda kuweka wazi sana swala la mahusiano kwasababu inatakiwa mimi niweze kuwa na uhakika kwamba huyu ambaye namtambulisha kwa wananchi ni kweli wakati umefika,
kwasababu leo unaweza ukawatambulisha huyu baada ya siku tatu mambo hayaeleweki ukatambulisha mwingine, kwahiyo mwisho wa siku utaonekana kijana unatumia nafasi yako kuweza kuchezea watoto wa kike, kwahiyo najaribu kuwa makini kwa hilo lakini kipindi kitakapofika watu wataweza kufahamu kama Ommy ‘bae’ wake ni yupi'...

 

11 years ago

GPL

OMMY DIMPOZ AFUNGUKIA KUKAMATWA MAREKANI

Mkali wa miondoko ya Bongo Fleva, Ommy Dimpoz. Stori: Shani Ramadhani
MKALI wa Bongo Fleva, Omari Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ ameibuka na kufungukia ishu iliyozagaa mitandaoni kuwa alikamatwa Marekani. Picha iliyozua utata. Akipiga stori mbili tatu na paparazi wetu, Dimpoz alisema picha zinazomwonesha akiwa chini ya ulinzi si tukio la kweli bali ni sehemu ya video ya wimbo wake mpya ambayo alikwenda… ...

 

9 years ago

GPL

DIAMOND, OMMY DIMPOZ WAZINGUANA MAREKANI!

Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’. Mwandishi Wetu MAPENZI yanatingisha dunia! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia nyota wawili wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuzinguana laivu nchini Marekani, Risasi Jumamosi limevujishiwa na lina mchapo kamili. Chanzo makini kilichoshuhudia sakata hilo lililotokea hivi karibuni nchini Marekani kulipokuwa na hafla ya utoaji wa tuzo za Afrimma...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani