Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAHAMU UGONJWA WA SURUA-2

Vidonda hivi huitwa Koplik spots. Hii ni dalili tosha ya kuthibitisha uwepo wa surua.
Lakini vilevile mgonjwa anaweza kuwa na vipele vidogo sana ambavyo inaweza kukuwia vigumu kutambua. Vipele hivi huweza kuonekana vizuri siku mbili baadaye hasa sehemu za usoni au nyuma ya sikio na kushuka chini kabla ya kutapakaa mwili mzima. Vipele hivi hupotea baada ya siku saba na kuacha ngozi iliyobabuka. Hata hivyo, kukohoa kunaweza...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

FAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU(JAMIIMOJABLOG)
~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba
JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

ugonjwa wa Surua tishio Guinea

Mashirika ya kimataifa yajizatiti kupambana na Surua nchini Guinea

 

11 years ago

Michuzi

Chanjo ya ugonjwa wa surua na rubella Manispaa ya Ilala yavuka lengo

Mganga Mkuu wa Hospitali ya Manispaa ya Ilala Dkt. Willy Sangu akionyesha picha ya yenye maelezo ya Chanjo ya kukinga ugonjwa wa Surua na Rubella wakati akitoa taarifa ya maendeleo ya zoezi la chanjo hiyo linalofanyika nchi nzima.
Na Eleuteri Mangi-MAELEZO
Manispaa ya Ilala imevuka lengo la kutoa chanjo ya ugonjwa wa Surua na Rubella kwa watu 468,297 ambapo awali lengo lao lilikuwa kutoa chanjo hiyo kwa watu 445,801 wakati wa wiki ya kutoa chanjo hiyo nchini.
Hayo yamesemwa na Mganga...

 

11 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA HERNIA

Kuna magonjwa ya hernia ya aina nyingi kama zile ziitwazo kitaalamu inguinal, umbilical, femoral, epigastric, incisional, inguinal hernia  na diaphragmatic hernia. Lakini watu wengi hukumbwa na hernia iitwayo inguinal hernia ambayo hutokeza karibu kabisa na sehemu ya siri ambako hapa kimrija kinachochukua mbegu za kiume kutoka kwenye korodani na kuingia kwenye tumbo na kuingia kwenye kiungo cha kiume. Hapa panaweza kuwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Fahamu ugonjwa wa kiharusi

Moja ya changamoto za kiafya zenye matokeo mabaya zaidi tunazoshuhudia kwa sasa hapa Tanzania ni maradhi yatokanayo na changamoto zinazotokea kwenye mfumo wa damu.

 

11 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA MAGOTI NA KIUNO (OSTEOARTHRITIS)

Ugonjwa wa maumivu katika magoti au kiuno kitaalamu huitwa Osteoarthritis.
Ugonjwa huu huwapata watu wengi hasa wenye unene wa kupita kiasi au wazee. Osteoarthritis ina maana magonjwa ya viungo vya mwili kiujumla, lakini hasa hushambulia magoti na kiuno.Ni ugonjwa wa muda mrefu na kusababisha uharibifu wa minofu migumu myeupe katika magoti, au kitaalamu huitwa cartilage articular. Ugonjwa huu umekuwa wa kawaida kwa watu wengi,...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-2

Mtoto anaweza kupatwa maradhi haya kwa kurithi kutoka katika familia aliyozaliwa kama vile wazazi, mjomba, babu au bibi, mama mdogo na kadhalika. Mtoto pia anaweza kupatwa na saratani hii kutokana na kuugua kila wakati ugonjwa wa malaria ambapo huchangia kupungua kwa kinga mwilini.Sababu nyingine ni mashambulio ya virusi vinavyoitwa kwa kitaalamu ‘Lymphic System’. Virusi hivyo hushambulia mfumo wa damu na kusababisha...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO-3

Kitaalamu dawa za kutibu saratani hii imegawanyika katika makundi mawili ipo iitwayo Vincristin, ya pili ni Methotrexate na dawa nyingine inayofahamika kama Cytarabin. Dawa nyingine ambayo ni muhimu sana huitwa Cyclophosphamide. Daktari akimuona mgonjwa anaweza kumpa dawa kwa kupitia njia ya mishipa ya damu pia ipo dawa ambayo mgonjwa hupewa kupitia uti wa mgongo. Kundi la pili la dawa zinazotumika kutibu saratani hii lina dawa...

 

10 years ago

GPL

FAHAMU UGONJWA WA SARATANI KWA WATOTO

Saratani au kansa zipo za aina nyingi lakini leo tutachambua ya  watoto ambayo kitaalamu inaitwa  Non Hodgkin’s Lymhona na  huwapata watoto wadogo wenye umri kati ya miaka mitatu na tisa. Saratani hii hujitokeza kutoka kwenye mfumo wa damu inayohusika na kinga ya mwili yaani Lymphatic system kwa kitaalamu na mara nyingi hushambulia tezi zinazoshughulika na kinga ya mwili wa mtoto na huweza kusababisha kifo. MAENEO...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani